TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

Alikuwa anaishi nae pale sinza na kisheria ukipika kupakua na.mtu kwa miezi 6 ni mkeo period

ninaBEKI3 na anakaribia miaka 2unusu pika pakua LALA afu yuko fit acha kabisa!! nimemnenepesha mwenyeeewe maana alikuja choka mbaya toka NTWAALA nanjilinji. je huyu atakuwa ni MUKE YANGUUUU yani nimemuwowaa???
 
Kifo hakina mtemi ila tukiwa wazima tusijisahau sana Mungu anachukia ..Pole sana wafiwa
 
Nilikuwa napenda sana kumwona akinengua na Twanga Pepeta. Wakati huo, napenda pia Banza Stone alivyokuwa akiimba. Maisha yao yalivyoanza kuharibika, nami nikajikuta naacha kupenda Twanga Pepeta. Nikaacha kupenda muziki wa bendi kabisa. Niliona kama wenye bendi wanatajirika huku maisha ya watumishi wao yakizidi kuharibika. Hizi bendi, ni aina nyingine ya utumwa mambo leo. Tazama maisha ya wasanii wake utaishia kusikitika. Pumzika kwa amani Aisha Mbegu.

Hakuna na tabu tabu ilianza pale alipoanza kumpiga bwibwi huyu mama ulikuwa na saluni
Nyingi tu za kina mama
 
Kwa hiyo ukichukua msichana huko unakosoma awe anakuhudumia kwa mwaka mmoja ni mkeo? kupakua sio tatizo tatizo ni kutolewa mahari ndio unaweza kubadilisha jina.

Ndo manake we chukua umzingue halafu akupeleke mahakamani uone kama hujaambiwa ni mkeo
 
R.I.P aisha mbegu,ulfanya nkatoroka nyumban mwaka 2005 kuja kukuona triple A,mlvyokua mnazindua albam yenu ya safari 2005.
hujamalizia.. enh!! ulivotoroka ulilala hukohukoo au ndo ulirejea mishale mibaya kwa kunyata kama kibaka..
 
hahaha leo tutayajua mengi ya chini ya kapet
 
Kwa hiyo ukichukua msichana huko unakosoma awe anakuhudumia kwa mwaka mmoja ni mkeo? kupakua sio tatizo tatizo ni kutolewa mahari ndio unaweza kubadilisha jina.

Hiyo ni kwa kikwenu kabisa😱😱😱 habari za mahari ......ila kuishi na mwanamke miezi hiyo unagonga ngozi unafuliwa na mengeneyo unahalalisha ni mkeo pale pale kisutu ndo utajua
 
ninaBEKI3 na anakaribia miaka 2unusu pika pakua LALA afu yuko fit acha kabisa!! nimemnenepesha mwenyeeewe maana alikuja choka mbaya toka NTWAALA nanjilinji. je huyu atakuwa ni MUKE YANGUUUU yani nimemuwowaa???

Endelea...........
 
Back
Top Bottom