TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

RIP Aisha Mohamed Mbegu, Tanzania imepoteza mnenguaji bora ambaye hakuwa na mshindani
 
kwani maelezo ya thread yanasemaje? acha kukurupuka bro, soma kwanza ndo ukomment

wewe ndo unakurupuka,hiyo thread wameedit sasa hivi angalia nimecomment mda gani,thread ilipokuja imeletwa jina tu la mhusika na kufariki kwake,hayo mengine yameongezwa baadaye
 
Hiyo ni kwa kikwenu kabisa😱😱😱 habari za mahari ......ila kuishi na mwanamke miezi hiyo unagonga ngozi unafuliwa na mengeneyo unahalalisha ni mkeo pale pale kisutu ndo utajua

Mimi wakati ninapanga nilikuwa nawagonga wadada 2 wa mwenye nyumba wangu kwa miaka miwili na nikiomba msaada wa kufuliwa nafuliwa sasa hivi wameolewa hivyo je ni wake zangu? kumbuka mama mwenye nyumba alikuwa anajua .
 
Tutamkumbuka RIP
images
 
Ndo manake we chukua umzingue halafu akupeleke mahakamani uone kama hujaambiwa ni mkeo

Jamani sheria ya wapi hii? Mbona uzushi huu unapendwa hivi!! Kwa Tz ni miaka 2 mfululizo na kuna masharti yake.
 
Jamani sheria ya wapi hii? Mbona uzushi huu unapendwa hivi!! Kwa Tz ni miaka 2 mfululizo na kuna masharti yake.

Wewe ndo mzushi eleza Kwanini unaona ni uzushi halafu wewe ndo msema ukweli that are ur words against mine
 
Back
Top Bottom