Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diana Aston villa-RIPkulikuaga na mnenguaji mwngne anajiita lilian aston vila,hv yupo?
kwani maelezo ya thread yanasemaje? acha kukurupuka bro, soma kwanza ndo ukomment
Hiyo ni kwa kikwenu kabisa😱😱😱 habari za mahari ......ila kuishi na mwanamke miezi hiyo unagonga ngozi unafuliwa na mengeneyo unahalalisha ni mkeo pale pale kisutu ndo utajua
Duh.... inasikitisha sana
Maisha ndivyo yalivyo, kila nafsi itaonja mauti.
Ndo manake we chukua umzingue halafu akupeleke mahakamani uone kama hujaambiwa ni mkeo
Unamaanisha nini?
Jamani sheria ya wapi hii? Mbona uzushi huu unapendwa hivi!! Kwa Tz ni miaka 2 mfululizo na kuna masharti yake.