TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

Mimi wakati ninapanga nilikuwa nawagonga wadada 2 wa mwenye nyumba wangu kwa miaka miwili na nikiomba msaada wa kufuliwa nafuliwa sasa hivi wameolewa hivyo je ni wake zangu? kumbuka mama mwenye nyumba alikuwa anajua .

Huyo mama mwenye nyumba wako ni 'kiboko'!
 
ikisha wadia.jpg Amali yake ndio itakayo muokowa Mola Ampe wepesi
 
Imeandikwa kila nafsi itaonja mauti. na kwa hakika umauti ni mawaidha tosha kwa wenye kuamini.maisha ya duniani ni mafupi sana ila wanadamu tunajisahau sana na maisha haya ya mpito. anza leo kumuabudu Muumba wako usisubiri kesho huenda sasa hivi ndio ikawa pumzi yako ya mwisho.

ni kweli kabisa
 
Hiyo ni kwa kikwenu kabisa😱😱😱 habari za mahari ......ila kuishi na mwanamke miezi hiyo unagonga ngozi unafuliwa na mengeneyo unahalalisha ni mkeo pale pale kisutu ndo utajua

Na sheria inasemaje kuhusu kuvunjika kwa hii ndoa??
 
Ingawa sio mahala pake,ngoja nikueleweshe kidogo.
Kinachozungumzwa na watu kimakosa kuhusu aina hii ya ndoa kisheria inaitwa presumption of marriage.ni kwamb ukiishi na mwanamke kwa miaka 2 mfululizo kama mke na mume inapotokea mgogoro inaweza kutambulika kwmb ninyi ni wanandoa
1.sharti wote muwe hamjaoa au kuolewa
2.mkae miaka 2 mfululizn
3.jamii iwachukulie ninyi ni wanandoa.
Kifungu 160 sheria ya ndoa mwaka 1971.[/QUOTE


Ulikuwa unangoja nini?
Na hapa ndo mahala pale haswaa
Ndo maana ya jf tuko hapa kuelimishana sio kuitana waZUshi
 
Ingawa sio mahala pake,ngoja nikueleweshe kidogo.
Kinachozungumzwa na watu kimakosa kuhusu aina hii ya ndoa kisheria inaitwa presumption of marriage.ni kwamb ukiishi na mwanamke kwa miaka 2 mfululizo kama mke na mume inapotokea mgogoro inaweza kutambulika kwmb ninyi ni wanandoa
1.sharti wote muwe hamjaoa au kuolewa
2.mkae miaka 2 mfululizn
3.jamii iwachukulie ninyi ni wanandoa.
Kifungu 160 sheria ya ndoa mwaka 1971.[/QUOTE


Ulikuwa unangoja nini?
Na hapa ndo mahala pale haswaa
Ndo maana ya jf tuko hapa kuelimishana sio kuitana waZUshi

Naamini umeujua ukweli sasa hautasema tena miezi 3..haya kawaeleze na wengine.
 
Imeandikwa kila nafsi itaonja mauti. na kwa hakika umauti ni mawaidha tosha kwa wenye kuamini.maisha ya duniani ni mafupi sana ila wanadamu tunajisahau sana na maisha haya ya mpito. anza leo kumuabudu Muumba wako usisubiri kesho huenda sasa hivi ndio ikawa pumzi yako ya mwisho.

Ujumbe mzuri sana,shukraan
 
RIP

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom