mzee Chibai
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 980
- 242
R.I.P
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unga mbaya sana wauza unaga ni wauaji
Kwendraaaaaaaaaa
Pole wafiwa wote
Lala salama mrembo
Nafasi ya kurehemewa bado anayo.
Na sababu kubwa ni kumkubali MUNGU MMOJA TU! na sio miungu watatu au wawili.
Uzinifu au ulevi ni mapungufu ya ubinaadamu.
Cha muhimu je alikufa akiwa na Imani ya MUNGU MMOJA?
Sasa ndio umeandika nini hapa?
Majitu mengine yanawashwa! Wakati wakunaji wako likizo!
Kafe mbele shoga kelbu!
Mungu akamueke pale alipopachagua alipokua hai
duh!r.i.p.Aisha.mungu kampenda zaid.Hv aliacha unga?
Baby wake!!nakumbuka enzi hizo,kila wimbo wa twanga,lazima usikie jina la Fikiri Madinda likitajwa.sijui alikuwa nani huyu mtu.anyway, RIP mnenguaji A.Madinda.
...jk atahutubia wazee ijumaa...
anaenda kuongea na wana ccm wenzake bhana hakuna mzee wa UKAWA amealikwa hapoHao wa Dar? maana ya uzee walishaipoteza kabisa!