Aisha Said aka Dj Sinyorita, kumbe ana shanga kilo kiunoni

Aisha Said aka Dj Sinyorita, kumbe ana shanga kilo kiunoni

Usiogope anaweza kua kama yule demu (Tunda) anayepigaga picha Kwny mahotel,mpk wakambatiza jina la tunda mahotel πŸ˜„
😁😁 Sema huyu insta ina mfanya apae, ila pesa ya kumla huyu na hotel unakula toto nzuri sana za UDBS ambazo hazijachakaa sanaaa.. Kanaoneka kaoga ka madhambi mengine
 
Ngojea na mie nipitepite hapo hata na ndinga ya kuazima naweza jiopolea zangu beuty with brain πŸ˜„
😁😁😁😁 Nilikuwa napenda kupaki kule kanisani wanapo abudu, watoto wanao toka nyumba za walimu kule, nawapa lift, leo naazima Subii, singine naazima crown siku ingine naazima audi yaaani nili enjoy πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shida sasa hivi hata kukopa meno yote kutoka kukodi gari kwa siku elfu 90 wese 50, mtoto 50, lodge 70 πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† lazima kusanda
 
Mchana kweupe unawaza utelezi we mwanaume huoni aibuuuu[emoji19][emoji57]
Sasa wewe hunipi, iwe asubuhi hunipi, mchana hunipi, usiku hunipi, masika hunipi, kiangazi hunipi na hata kupindu cha vuli hunipi na hutaki hata kunisikia, unategemea naishije sasa πŸ˜„πŸ˜„
 
Sasa wewe hunipi, iwe asubuhi hunipi, mchana hunipi, usiku hunipi, masika hunipi, kiangazi hunipi na hata kupindu cha vuli hunipi na hutaki hata kunisikia, unategemea naishije sasa [emoji1][emoji1]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]basi basiii basiiiiii jaman mpaka nahis umepaliwa maana sio kwa mineno hiyoooooo
Ila we si unapewa na vijana wa UDSM wewe[emoji19][emoji19]shwainnnnnnnn
 
Back
Top Bottom