Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Ndio kabisa mimi nimejenga vyumba zaidi 10 style hiyoYani gharama ya kutengezeza chumba kimoja ni 1 million mkuu? Nmekuelewa vzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kabisa mimi nimejenga vyumba zaidi 10 style hiyoYani gharama ya kutengezeza chumba kimoja ni 1 million mkuu? Nmekuelewa vzuri?
Inadhani hana nyumba??Hongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
We siyo Asha ni AishiHongera Aisha
Kwenye kuharibiana Watz tuko vizuri sana.Safi hela alizopewa na GSM baada ya kula chuma 5 na kuwaachia juzi kina mbangula
Usniambie huyu jamaa hajajenga na mapesa yote hayo wanayopataHongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
hapo ni kupandisha had renta au kufikia hatua gan mkuu? Una fund wako maalum?Ndio kabisa mimi nimejenga vyumba zaidi 10 style hiyo
Atuambie kwa mujibu ya sheria ipi. Sio mtu anashauriwa tu na mkeweDr Damas Ndumbaro kapiga marufuku aisee 🤣🤣🤣
Kuna watu wamechafukwa sana, hata nyumba ya udongo inaweza kuzidi hiyo pesaYani gharama ya kutengezeza chumba kimoja ni 1 million mkuu? Nmekuelewa vzuri?
Kwani wewe uko wapi ? Piga hesabu kitu kimoja kimoja tuone maana unaona miujizaahapo ni kupandisha had renta au kufikia hatua gan mkuu? Una fund wako maalum?
Acha tupate dondoo wenda ana kituKuna watu wamechafukwa sana, hata nyumba ya udongo inaweza kuzidi hiyo pesa
Nakuja PM mkuu labda unahisi nauliza kimasihara ila hapa wengi wangefaidika pia kkKwani wewe uko wapi ? Piga hesabu kitu kimoja kimoja tuone maana unaona miujizaa
Ni utopolo mtupuAcha tupate dondoo wenda ana kitu
Sherehe yangu ya kufungua nyumba utaiskia kwenye bomba sikupi invite unakaza fuvu, watu tumechoka kupanga kiongozi.Ni utopolo mtupu
Unataka Kufanya kitu gani nikusaidie mawazo ? Kwa faida ya wengi?Nakuja PM mkuu labda unahisi nauliza kimasihara ila hapa wengi wangefaidika pia kk
Hahaha nyumba ya milioni utapika nini ya kula hadi unialike?Sherehe yangu ya kufungua nyumba utaiskia kwenye bomba sikupi invite unakaza fuvu, watu tumechoka kupanga kiongozi.
Naomba nilelekeze kwa ufupi ku balance milion milion moja kutoa chumba na hatua itakayofika, umesema umejenga 10 kwa style hyo hvo sina shaka na uzoefu wakoUnataka
Unataka Kufanya kitu gani nikusaidie mawazo ? Kwa faida ya wengi?
Bro nyumba ya kawaida sana dar 250,000 ya vyumba viwili..umeme, maji, taka na utilities tuseme 300,000 kwa mwezi kwahiyo 3.6M annually, hapo bado bajeti ya msosi, unafkiri vijana wadogo tunaota upara bahati mbaya? Kama ipo ya 1M najitosaaaHahaha nyumba ya milioni utapika nini ya kula hadi unialike?
Mwalike fundi maiko inatosha🤣🤣