Aishi Manula afungua duka la Vifaa vya michezo

Aishi Manula afungua duka la Vifaa vya michezo

Kwani wewe uko wapi ? Piga hesabu kitu kimoja kimoja tuone maana unaona miujizaa
Nilipata kamilioni, nikasema nijenge chumba Cha kufikia shamba Bado pagale, haijaisha....
Ujenzi Bado upo juu mkuu
 
Kama imani yako ni rahisi namna hii, basi chukua na hili. Mimi hapa nina gari linatumia maji hivyo sina gharama za kununua mafuta. You see?

In short nataka kusema hivi, acha upuuzi. Kama chumba kimoja kinagharimu milioni moja ina maana nyumba nyingi sana mjini ziko chini va milioni 10. Sababu zina vyumba vitatu au vinne nyingi. Hata muuza ukwaju wa Azam angejenga.
Mkuu nishawahi kujenga before mkoani na gharama kubwa zaidi ndio mana nikawa na shauku sana, sio ujinga kuuliza si mtu mzima huyo kaandika humu? Kila mjuaji ana mtaalamu zaidi yake kua open kusikia mawazo ya watu, ilitakiwa tumsisitize atupe mchanganuo huyo mwamba
 
Mkuu nishawahi kujenga before mkoani na gharama kubwa zaidi ndio mana nikawa na shauku sana, sio ujinga kuuliza si mtu mzima huyo kaandika humu? Kila mjuaji ana mtaalamu zaidi yake kua open kusikia mawazo ya watu, ilitakiwa tumsisitize atupe mchanganuo huyo mwamba
Mkuu ukiwa mtu wa kusikiliza kila kitu utakuwa mpoteza muda na mtu wa kujaribujaribu na visivyowezekana hata kutapeliwa au kuingia hasara.

Mwanaume makini ni yule dalali akimwambia nina gari Toyota IST zuri nauza 4M, anakataa akijua kabisa IST ni 12M ikiwa vizuri ila ikiwa kawaida 8M, huyu anayenipa kwa 4M ni baba yangu kwamba ananipenda? Wakati akitangaza analitupa kwa 6M linaondoka kesho yake kama kweli liko sawa.

Yani wewe nani ujenge chumba kwa 1M, wengine wote wajinga wanaojenga nyumba ya vyumba vitatu kwa 15M tena hapo kala mihogo na maji na alikuwa kibarua kwenye ujenzi?
 
Kama imani yako ni rahisi namna hii, basi chukua na hili. Mimi hapa nina gari linatumia maji hivyo sina gharama za kununua mafuta. You see?

In short nataka kusema hivi, acha upuuzi. Kama chumba kimoja kinagharimu milioni moja ina maana nyumba nyingi sana mjini ziko chini va milioni 10. Sababu zina vyumba vitatu au vinne nyingi. Hata muuza ukwaju wa Azam angejenga.
Aliyeanzisha hii mada pumbafu zake😂
 
Mkuu nishawahi kujenga before mkoani na gharama kubwa zaidi ndio mana nikawa na shauku sana, sio ujinga kuuliza si mtu mzima huyo kaandika humu? Kila mjuaji ana mtaalamu zaidi yake kua open kusikia mawazo ya watu, ilitakiwa tumsisitize atupe mchanganuo huyo mwamba
LAbda vile vyumba vya tandale izuri vya kuunga na kupaua na mabati kuukuu ya kuokota cc madebe
 
1)Mmoja kasema chumba ft10 KWA ft 10 kujenga 1M

2)mwingine anasema kujenga chumba(hahahaha size) ni M8.5 mpaka 12M


Yule namba moja kaamua asijibizane na namba mbili. Labda atakuja kujibu


Upo uwezekano kuwa wote wako sahihi. Inategemea unajenga chumba gani na unamjengea nani.
 
Hongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
Unajuaje km hana nyumba?
 
ASTAAFUSASAA

NA NYIE MKANUNUE SIO KUJA NA TAARIFA
MKAMUUNGEMKONO
 
Hongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
Amekuambia hajajenga
 
Back
Top Bottom