Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mkulima, nabii wa mpiraWewe ndio semaji la 🦁
NeverSimba itamaliza namba tatu tena
NeverMsimu ujao yanga anatangaza ubingwa mapema sana
Maduka yote ya jiesiem ndani ya Simba yamesafishwa. Anzia Inonga na sasa Manula. Mwaka ujao simba bingwa .Simba itamaliza namba tatu tena
Mlipofungwa 5 mlimfukuza kocha..! Kwahiyo na robertinho alikua Duka? [emoji23][emoji23][emoji23]Maduka yote ya jiesiem ndani ya Simba yamesafishwa. Anzia Inonga na sasa Manula. Mwaka ujao simba bingwa .
Hahaaaa sema upo kwenye management ya Simba bwana. Tunakujua Bwana Mangungu.Mimi ni mkulima, nabii wa mpira
Aende salama siyo kwa alichotufanyia mechi na Prison.Niko hapa kuthibitisha kuwa Aishi Manula, golikipa wa Simba SC hatakuwa kipa wa Simba SC msimu huu. Anapelekwa Azam FC Kwa mkopo. Mpango wa Simba SC ni Ayoub Lakred kuwa namba Moja akisaidiwa na Ally Salim.
Kaduguda juzi kakaziaMlipofungwa 5 mlimfukuza kocha..! Kwahiyo na robertinho alikua Duka? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana Rage aliwaita MBUMBUMBU
Hivi kwanini tusiwe tunawaaga kwa heshima hawa Wachezaji ambao kuna kipindi walitupa furaha tukatatamba mbele ya wapinzani wetu?Maduka yote ya jiesiem ndani ya Simba yamesafishwa. Anzia Inonga na sasa Manula. Mwaka ujao simba bingwa .
Hahah ila hili jina la MBUMBUMBU linachekesha sana.Mlipofungwa 5 mlimfukuza kocha..! Kwahiyo na robertinho alikua Duka? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana Rage aliwaita MBUMBUMBU