Tetesi: Aishi Manula anakaribia kujiunga na Azam FC

Tetesi: Aishi Manula anakaribia kujiunga na Azam FC

Sijui kiongozi gani ndani ya SSC bado hataki Manila aondoke SSC tumechelewa sana tena sana kumstaafisha Manula
Niko hapa kuthibitisha kuwa Aishi Manula, golikipa wa Simba SC hatakuwa kipa wa Simba SC msimu huu. Anapelekwa Azam FC Kwa mkopo. Mpango wa Simba SC ni Ayoub Lakred kuwa namba Moja akisaidiwa na Ally Salim
 
Back
Top Bottom