Tetesi: Aishi Manula anakaribia kujiunga na Azam FC

Maduka yote ya jiesiem ndani ya Simba yamesafishwa. Anzia Inonga na sasa Manula. Mwaka ujao simba bingwa .
Hivi kwanini tusiwe tunawaaga kwa heshima hawa Wachezaji ambao kuna kipindi walitupa furaha tukatatamba mbele ya wapinzani wetu?

Kwanini tunapotaka kuachana na mchezaji tumuite majina mabaya?
 
Mlipofungwa 5 mlimfukuza kocha..! Kwahiyo na robertinho alikua Duka? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana Rage aliwaita MBUMBUMBU
Hahah ila hili jina la MBUMBUMBU linachekesha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…