Aishi na risasi 3 mwilini kwa miaka 11 baada Muhimbili na Bugando kutomfanyia upasuaji

Aishi na risasi 3 mwilini kwa miaka 11 baada Muhimbili na Bugando kutomfanyia upasuaji

Wewe ulidhani zipi?

Na zile za maigizo ya cinema na movie za kivita sio zenyewe maana zile hazina madhara, uwe unachukua muda wako kuangalia behind the scenes za movies utajifunza kitu, kwenye movies wanafanya kitu kinaitwa make-up kinafanya na make-up designers au make-up artist
Najua.

Nmesema mwasababu dhima ya movie ni kutufanya tuone risasi ni kitu ambacho ukikaza unajitoa na whiskey ni kama sanitizer

Ndo mana nikauliza ndo zile zile au vipi
 
Watu wanateaeka mazee sema unaweza kuta hizo risasi hakupigwa wakati wa sekeseke la machinga wala nini
 
Back
Top Bottom