Aishi na risasi 3 mwilini kwa miaka 11 baada Muhimbili na Bugando kutomfanyia upasuaji

Najua.

Nmesema mwasababu dhima ya movie ni kutufanya tuone risasi ni kitu ambacho ukikaza unajitoa na whiskey ni kama sanitizer

Ndo mana nikauliza ndo zile zile au vipi
 
Watu wanateaeka mazee sema unaweza kuta hizo risasi hakupigwa wakati wa sekeseke la machinga wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…