Wiki mbili zilizopita iliripotiwa habari ya uvunjwaji wa kanuni katika matumizi ya fedha kwa manaibu makatibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) wa wilaya za Tanga na Mkinga.
Wahusika hao wamekuwa wakisainiana hela bila kushirikisha watumishi wengine ndani ya ofisi hizo jambo ambalo ni kinyume cha taratibu. Tena eti watu hao bdio wanaoangalia nidhamu ya watumishi wenzao. Hao wanaweza kutenda haki?
Baadae TSC makao makuu waliwaleta watu hao kufuatilia watu wao kufanya ufuatiliaji. Wajumbe hao hawajafuatilia upotevu wa fedha na taratibu kutofuatwa. Wamefika Tanga na kuwabana watumishi kwamba kwanini wanatoa siri za ofisi. Je hiyo nayo ni siri ya ofisi?
RAS kuwa makini na wafujaji hao na wavunja kanuni kwani wanaweza kushawishi watu wanaokuja kuwachunguza. Watajivisha ukada na hatimaye usipokua makini unaonekana umepwaya.
Waangalie sana watu wa Tanga
Wahusika hao wamekuwa wakisainiana hela bila kushirikisha watumishi wengine ndani ya ofisi hizo jambo ambalo ni kinyume cha taratibu. Tena eti watu hao bdio wanaoangalia nidhamu ya watumishi wenzao. Hao wanaweza kutenda haki?
Baadae TSC makao makuu waliwaleta watu hao kufuatilia watu wao kufanya ufuatiliaji. Wajumbe hao hawajafuatilia upotevu wa fedha na taratibu kutofuatwa. Wamefika Tanga na kuwabana watumishi kwamba kwanini wanatoa siri za ofisi. Je hiyo nayo ni siri ya ofisi?
RAS kuwa makini na wafujaji hao na wavunja kanuni kwani wanaweza kushawishi watu wanaokuja kuwachunguza. Watajivisha ukada na hatimaye usipokua makini unaonekana umepwaya.
Waangalie sana watu wa Tanga