Ajabu sana klabu yanga wanapotaka vitendo vya kihuni visitangazwe na kukemewa kwa kigezo cha uzalendo!

Ajabu sana klabu yanga wanapotaka vitendo vya kihuni visitangazwe na kukemewa kwa kigezo cha uzalendo!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Nimemsikia msemaji wa Yanga Ally Kamwe anasema DR Congo wamefanyiwa vitendo vya kihuni wamerogwa mchana kweupe washabiki wao wamepigishwa magoti na kuchomwa na jua kali,

Kama msemaji wa yanga anasema vitendo hivyo vingefanywa kwa mkapa na klabu ya Yanga kwa kuwa waandishi wa tanzania hawana uzalendo wangeandikwa dunia nzima ikajua kama yale masuala ya kujidunga na kuruka ukuta ambayo TFF huishia kuwapiga faini.

Tuseme wazi na tukemee suala hilo haliwezekani kuwachwa limee hapa kwetu Tanzania maana ya kununua wachezaji bei ghali walimu na kuwalipa mishahara minono faida yake nini tumkemee Ally Kamwe asitake kuhalalisha vitu visivyokubalika na hii inadhihirisha yale maneno kuwa sasa yanga imeshindwa mpira kabisaaaa inatafuta vizingizio nje ya uwanja na mbeleko!

Uhuni michezoni haikubaliki na ni aibu kwa afsa habari wa klabu kongwe kutaka kuupigia promo uhuni!
 
Ukiwa na kipara kipya, akili kichwani inakuwa sifuri

Yaani umeandika maandiko marefu ila hayaeleweki
Uliishia vidudu?
 
Utaelewa tu hatuwezi waacha mjidunge sindano na kuruka mageti na kuwafanyia fujo timu pinzani muwache kisa ali kamwe kasema yasitangazwe!
Nishajua kiwango chako cha uelewa wa mambo
Sikujibu tena
 
Aya ndio tunayo yapenda
Screenshot_20241215-211726.jpg
Screenshot_20241215-211726.jpg
 
Clouds ndo wanaliongea hapa...naona wanamkemea jamaa kwamba kazingua...hajui kuwa uandishi ni professional na inafuata taratibu na kanuni
 
Back
Top Bottom