Yani hapa mkoani kahama kiufupi madereva wengi wanajifunzia humu humu hakuna bajaji,pikipiki,gari na vyombo vingine.
nilichoka yani mtu unavuka barabara na anakuona ila ndio kwanza anaongeza mwendo .
mfano wa pili hapa kahama watu hawafahamu sheria hata kidogo na hakuna ukaguzi makini ili mradi maisha yana songa.
ujinga - mwendo kasi wa kizembe, ulevi, fujo, utoto hapa umemeliza kila kituKwa hakika watu hawa hawawezi kusaidia kuondoa tatizo la ajali:
View attachment 2321497
Kivyao vyao bila shaka sasa IST, Tractor, Hilux, na Scania zote zinapaswa kuwekwa pembeni ya kuwa ni mbovu kwani hivi karibuni zimehusika kwenye ajali.
Polisi traffic mmetunyonya sana kwa rushwa zenu. Hatutapoa hadi kieleweke.
Isolated? Si uweke mifano ya kutosha yenye kuakisi hiyo main course kuwa miundo mbinu?Hizo ni isolated accidents, main reason ya ajali nyingi ni miundo mbinu mibovu tuliyokua nayo, hata alama za usalama barabarani hakuna
Ajali za barabarani Kwa tanzania Kwa asilimia 90 ni Uzembe WA Madereva.
Imagine zile basi za sauli na Newforce huwa zinashindana Nani atafika Mbeya Mapema.
Solution: serikali iwekeze kwenye technology ; nchi hii ina vijana wengi wanaojua kutengeneza mifuno ya kupunguza hizi ajali. Traffic police pekee hawawezi. Wizara ya sayansi waitishe Challenge ya vijana kubuni mifuno ya technology ya kupunguza ajali. Nakuhakikishia itapatikana mifumo hizi ajali zinaweza kupungua hata Kwa asilimia 90.
Tatizo la nchi yetu siasa ni nyingi kila sehemu. Na WAnasiasa ndio wanaonekana kuwa na akili kuliko watu wote wakiwemo hata wataalam WA technology sababu inayopelekea wao pekee kuwa wanatoa mawazo.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ajali za barabarani Kwa tanzania Kwa asilimia 90 ni Uzembe WA Madereva.
Imagine zile basi za sauli na Newforce huwa zinashindana Nani atafika Mbeya Mapema.
Solution: serikali iwekeze kwenye technology ; nchi hii ina vijana wengi wanaojua kutengeneza mifuno ya kupunguza hizi ajali. Traffic police pekee hawawezi. Wizara ya sayansi waitishe Challenge ya vijana kubuni mifuno ya technology ya kupunguza ajali. Nakuhakikishia itapatikana mifumo hizi ajali zinaweza kupungua hata Kwa asilimia 90.
Tatizo la nchi yetu siasa ni nyingi kila sehemu. Na WAnasiasa ndio wanaonekana kuwa na akili kuliko watu wote wakiwemo hata wataalam WA technology sababu inayopelekea wao pekee kuwa wanatoa mawazo.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app