mizigo mikoa yote
Member
- Dec 2, 2023
- 19
- 28
Unaamini katika hiloKafara Bado zinaendelea...
Ajali ya Basi la kampuni ya Tokyo Takara na gari ndogo maeneo ya Nyamwage pale, poleni sana aisee 🥲
Tuendelee kuchukua tahadhari road bado kwa moto sana.
Mungu awatie nguvu wote waliofikwa na majanga haya.
Kama mnakumbuka nilitoa tahadhali mapema kama hamna umu him wa KUSAFIRI tulia nyumban na familia Yako.m
Nyamwage ndiyo iko wilaya na mkoa gani?Ajali ya Basi la kampuni ya Tokyo Takara na gari ndogo maeneo ya Nyamwage pale,
Taarifa zaida wataleta wenye mamlaka husika
Hili ndilo basi lao zuri, hawa enzi hizo walikuwa Dar - Dodoma lakini watu walipokuja wakahamia kwao Namtumbo.Ajali ya Basi la kampuni ya Tokyo Takara na gari ndogo maeneo ya Nyamwage pale,
Taarifa zaida wataleta wenye mamlaka husika
Swala la kale haliishi leoKafara Bado zinaendelea...