Tetesi: Ajali Lucky Vincent School: Uzembe, Tamaa, Ubadhirifu na Kutokujali Usalama wa Wanafunzi

Hapa naona tunalumbana inatakiwa tuwaombe kwa Mungu awapumzishe kwa Amani
Hao wote ndo ilikuwa siku yao imefika ndo mana hayo yote yametokea na ilipagwa kuwa hiyo ndo itakuwa sababu ya vifo vyao
 
Kabla ya kuhukumu vipi miundo mbinu ya barabara zetu maana kwa kiasi kikubwa ndo chanzo kikuu cha ajari... Poleni ndugu na wazazi
 
Ukweli ni kuwa, watoto wpte waliokuwa kwenye ile gari iliyopata ajali wameathirika. Licha ya wale waliofariki, kuna watoto wawili wamejeruhiwa na wamelazwa. Hivyo Hanna mtoto aliyetoka clean bila majeraha. Tujitahidi kufuatilia taarifa rasmi kutoka Arusha.
 
Nimejiuliza sana hilo
Sawa Tuache mambo ya magari. KULIKUWA NA UMUHIMU GANI KWA WANAFUNZI KUSAFIRI KWA AJILI YA KWENDA KUFANYA JOINT EXAMS. WANGEWEZA KUTUNGA MTIHANI WAPAMOJA NA WATOTO WAKAFANYA BILA KUSAFIRI.
 
Magari mengi yanayobeba wanafunzi ni mabovu sana mengi yao yanatembelea tairi kipara
 
Watanzania tungekuwa wamoja tuhakikishe wahusika wa shule hii wanawajibishwa kwa vifo hivi Na ukizingatia hata RPC anatoa taarifa za uongo kuwa ni wanafunzi 30 wakati ni zaidi ya 33
Acha undezi wewe,wawajibishwe kwa kosa gani?kwani wao ndiyo waliosababisha ajali?
 
Sawa Tuache mambo ya magari. KULIKUWA NA UMUHIMU GANI KWA WANAFUNZI KUSAFIRI KWA AJILI YA KWENDA KUFANYA JOINT EXAMS. WANGEWEZA KUTUNGA MTIHANI WAPAMOJA NA WATOTO WAKAFANYA BILA KUSAFIRI.
Very stupid idea
 
Ajali ya ukweli ilitokea morogoro gari la abiria na kichwa cha Lori liendalo Rwanda nyang'anyang'a lakini abiria na dereva wa Lori wazima hilo la lucky Vincent kuna damu ilihitajika na waovu sishawishiki kwa hili
 
Hili jambo nadhani lingekuwa fundisho na kujifunza, lakini mkuu wetu mwenyewe Alisha sema "yeye hapangiwi wala hashairiwi" sasa na watendaji wake naimani hawapangiwi na hawashauriwi. We Gari linabeba wanafunzi viti vyenyewe ni chuma tupu, hakuna sponji, kazi IPO,
 
Humu ndani kuna mpumbavu mmoja anajiita bandu bandu kazi yake ku quote Na kuandika ujinga namshauri aache umbwa wake atulie wanaume wachangie mada
 
nimekupata mkuu wahusika waliangalie hilo
 
Sawa Tuache mambo ya magari. KULIKUWA NA UMUHIMU GANI KWA WANAFUNZI KUSAFIRI KWA AJILI YA KWENDA KUFANYA JOINT EXAMS. WANGEWEZA KUTUNGA MTIHANI WAPAMOJA NA WATOTO WAKAFANYA BILA KUSAFIRI.
Exposure ingetoka wapi ?
 
Kumbe walioelimika bado wapo wengi tu, safi mleta uzi.
 
Ajali ya ukweli ilitokea morogoro gari la abiria na kichwa cha Lori liendalo Rwanda nyang'anyang'a lakini abiria na dereva wa Lori wazima hilo la lucky Vincent kuna damu ilihitajika na waovu sishawishiki kwa hili
Una safari ndefu sana kufika uendako kwa kuwa na mawazo mgando.
 
Una busara sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…