Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Na kuheshimu sheria za barabarani R.I.P.Pia tufunge mikanda
Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.
Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).
Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.
Mwendokasi unaua...
Usinywe pombe na kuendesha...
Usiendeshe huku ukituma sms...
Usiendeshe ukipapasa mwanamke mapaja...
RIP Kelvin Kaloosh
View attachment 320314View attachment 320322
Mkuu unasema mabinti wauza sura ndiyo wameguswa zaidi una maana gani?
Afadhali lakini ame enjoy wadada, pole zao wafiwaInawezekana alikuwa ni kipenzi cha walimbwende.
We bitoz unafanya nini?....
Nasubiri maelezo yaliyoshiba...mleta mada hajaleta taarifa ya kutosha !!We bitoz unafanya nini?
Afadhali lakini ame enjoy wadada, pole zao wafiwa
Nasikia ni Kelvin KalooshNi nani.......?......
Mkuu pitia instagram za wadada wa mjini uone wanavyoshindana kuelezeq jinsi walivyoguswa na msiba,ajabu kila mmoja anadai alikuwa karibu na marehemu.Mkuu unasema mabinti wauza sura ndiyo wameguswa zaidi una maana gani?