Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kwa Arusha ni MilioneaOook......RIP kijana.........lakini nataka nijue......alikuwa milionea.....?........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Arusha ni MilioneaOook......RIP kijana.........lakini nataka nijue......alikuwa milionea.....?........
Usiendeshe huku ukiwa unapima oilPamoja na kifo chake,tuliobaki tunajifunza nini...???
Umeruhusiwa kuweka picha yake kwenye mitandao na familia yake? Sometimes unaweza kudhani unatoa habari lakini wanafamilia hawapendi au mbaya zaidi labda marehemu alikuwa hapendi kujiweka kwenye mitandao. Msinichukie nauliza tu.Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.
Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).
Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.
Mwendokasi unaua...
Usinywe pombe na kuendesha...
Usiendeshe huku ukituma sms...
Usiendeshe ukipapasa mwanamke mapaja...
RIP Kelvin Kaloosh
View attachment 320314View attachment 320322
Kuwa makini watoto wa pwani wasije kukuvika cheni hilo guu la kushotoNaona hapa Mapozi ndo pamechangamka.
Nimecheza sana Taarab usiku wa kuamkia leo na watoto wa Pwani. Nimeanza kuipenda Pwani kwa kweli.
Nikirudi tena nitakaribia huko Donge.
Kuwa makini watoto wa pwani wasije kukuvika cheni hilo guu la kushoto
Yawezekana alikuwa kama Le mutuz, yaani mtu wa mbembeziMkuu unasema mabinti wauza sura ndiyo wameguswa zaidi una maana gani?
Tuanzie hapa Alisoma wapi?Alikuwa na demu wake nae yuko ICU, anajuana na mastar wengi ni kwa kuwa ni bataboy mtoto wa kishua, nilimuacha shule A - level ye na wenzake akina Arme Nando, Godzilla n.k na hiyo class yao imetoa vijana wasumbufu sana hapa town kwa bata
NTSS shule ya Ritta Mlaki ipo africana now inaitwa BraeburnTuanzie hapa Alisoma wapi?
Saymariaso sad. heb nipe instagram username yake nkampe pole jamaa
Mungu mwacheni aitwe Mungu yani mtu anaishi stress free mpaka kifo...unatoka kula bhata unapata ajali habari inaishia hapoView attachment 320380
Hapa akiwa na Jimmy, yule dogo wa kishua aliyepata ajali maeneo ya mbezi beach mwaka ulioisha
View attachment 320381
Masaa machache kabla y ajali