Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We all going to die, and there is no difference if u die now or later, what is important is to make sure you are prepared if you are a believerTuwe makini guys coz when u die u loose a very important part of ur life.
Si bora wewe wa kilindoni wengine tupo baleni huku.Inaonekana marehemu (apumzike kwa amani) alikuwa ana uwezo wa kuingia bar akanunua bia za laki tatu ndo akawa celeb wa eneo lake la kujidai.
Nchi kubwa hii jamani. Kuna watu tunaishi huku Kilindoni, Mafia.
Asante sana mkuu Je marehemu alikuwa ana ishi wapi na alikuwa ana fanya shughuli gani ??NTSS shule ya Ritta Mlaki ipo africana now inaitwa Braeburn
Mkuu Leo nauliza tena.. Wewe ndio chachu ombara wa fally ipupa?? Samahani lakini Kama nakubomoa... Napenda Mziki wa jamaa na jinsi anayoimba jina lako thus why nimeuliza.. Nasisitiza Samahani lakini.Kweli mkuu hapo ndio ukute kanywa pombe, anaendesha kwa speed,alafua anataka kupima oil.
Kaka kumbe jamaa tumesoma nae Chuo cha uongozi wa Mahakama (IJA) Lushoto lakini sikufahamiana naeMungu mwacheni aitwe Mungu yani mtu anaishi stress free mpaka kifo...unatoka kula bhata unapata ajali habari inaishia hapo
Wakati kuna wengine wanaugua na kuumwa sana huku hata hela ya matibabu au lishe vikiwa ni shida mpaka unakufa
Ndio mimi mkuu papaaa Chachu Ombara,sema siku hizi siimbwi Magufuli kaziba mianya ya pesa.Mkuu Leo nauliza tena.. Wewe ndio chachu ombara wa fally ipupa?? Samahani lakini Kama nakubomoa... Napenda Mziki wa jamaa na jinsi anayoimba jina lako thus why nimeuliza.. Nasisitiza Samahani lakini.
HahahahaMpaka hapa page ya 4 post ya 70 hakuna yeyote aliyeelezea vizuri kuwa marehemu ni nani na alikuwa na impact gani kiuchumi. Huko insta obviously sitegemei info ya kueleweka kutokana na nature ya watumiaji. Jf ya siku hizi ni jipu sugu linalopaswa kutumbuliwa kwa baruti walah. Anyway Mola akuweke unapostahili marehemu
View attachment 320384
Asante mkuu, hakuwa rafiki yangu lakini lkn tukikutana hi kwa sana tu.pole chachu ombara kwa msiba wa rafiki, rip kelvin.
mshana jr wewe ni noma!Bitoz unajua pale ndio nyumbani? Tukiwa wadogo wakati huo kikijulikana kama chuo cha ccm tulisoma vidudu pale
Kaka nimesoma pale ni chuo cha kubana hatari kuna DISCO za kufa mtu lakini nilipapenda sana kutokana na kuwa na hali ya hewa safi sio huku Joto City !!! napafahamu vizuri mitaa ya Dochi, Sinza n.kBitoz unajua pale ndio nyumbani? Tukiwa wadogo wakati huo kikijulikana kama chuo cha ccm tulisoma vidudu pale
Next time ukienda mazikoni kasome miaka ya waliozikwa karibuni.R. I. P vijana tunakufa tunawaacha wazee..
Ha ha ha haaaa... Hatari.Ndio mimi mkuu papaaa Chachu Ombara,sema siku hizi siimbwi Magufuli kaziba mianya ya pesa.