Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watoto wadogo sana bata ziliwazidi...jimmy kwa ajali mbaya nae hivyo hivyo..alikua anatokea kwenye starehe rhapsody alfajiri ..daaaah vijana jaman wanatia huruma...kwan ukinywa kawaida ukarud home mapema na speed normal kuna nnView attachment 320380
Hapa akiwa na Jimmy, yule dogo wa kishua aliyepata ajali maeneo ya mbezi beach mwaka ulioisha
View attachment 320381
Masaa machache kabla y ajali
Hajatokea arusha haez kua wa hivyoOook......RIP kijana.........lakini nataka nijue......alikuwa milionea.....?........
Ndio nani huyo, maana bongo sikuhizi kila mtu ni celebrity.
RIP
Sasa Dochi ndio home lakini huku chini darajaniKaka nimesoma pale ni chuo cha kubana hatari kuna DISCO za kufa mtu lakini nilipapenda sana kutokana na kuwa na hali ya hewa safi sio huku Joto City !!! napafahamu vizuri mitaa ya Dochi, Sinza n.k
Sawa mkuu kunapo majaliwa naweza kuja huko Milima ya Usambara kutaliiSasa Dochi ndio home lakini huku chini darajani
Haya ndio maswali yaliyo ulizwa toka uzi una anza mpaka Muda huu hakuna majibu hata wanao mjua wako Kimya .Alikuwa Producer wa mziki? Mbongo Flavor? Promoter? Au Mfanyabiashara Design ya Kina Kinje,Abdul Zeze,Kanyau,Rumishael? Nini kilichomfanya ajulikane na kina masogange,kadinda,wolper,Young D?
Jana umeniacha hoi na design za guest houses, leo naona unamwambia bitoz ufahamu corridor zote za chuo cha mahakama LushotoKwanini bdo?
Aisee...mkuu nipo nyamisati hapa kesho navuka kuja mafia,ngoja niulizie hapa labda wanamjua huyo jamaa.Inaonekana marehemu (apumzike kwa amani) alikuwa ana uwezo wa kuingia bar akanunua bia za laki tatu ndo akawa celeb wa eneo lake la kujidai.
Nchi kubwa hii jamani. Kuna watu tunaishi huku Kilindoni, Mafia.
Hawa watoto wadogo sana bata ziliwazidi...jimmy kwa ajali mbaya nae hivyo hivyo..alikua anatokea kwenye starehe rhapsody alfajiri ..daaaah vijana jaman wanatia huruma...kwan ukinywa kawaida ukarud home mapema na speed normal kuna nn
Hahahahaha na kabla hawajaanza kulia wanaji cream kabisa mapoda nini ili makunyanzi yao usoni yasionekane..unafki mtupu mtu ufiwe ukumbuke kujipaka lipstick!Siku hizi pole zinatolewa online na watu wanalia huku wanajipiga selifie na Kuwekea captions zenye swagger kuonyesha wameguswa kweli smh