Aisee...mkuu nipo nyamisati hapa kesho navuka kuja mafia,ngoja niulizie hapa labda wanamjua huyo jamaa.
Unakuja na Mafia Raha au Mafia Line?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee...mkuu nipo nyamisati hapa kesho navuka kuja mafia,ngoja niulizie hapa labda wanamjua huyo jamaa.
Alikuwa Producer wa mziki? Mbongo Flavor? Promoter? Au Mfanyabiashara Design ya Kina Kinje,Abdul Zeze,Kanyau,Rumishael? Nini kilichomfanya ajulikane na kina masogange,kadinda,wolper,Young D?
Mkuu hii mambo ya magari hainaga kulewa, waeza kua mzima akaja mlevi akakubutua alooo, daaah RIP mshkaji wake mtoa threadNormal speed sana akishapiga masanga ni speed istoshe wengi bdo hawana uzoefu wa kucontrol magari.....kwahiyo barabara gari ukiwa 140speed ucku ni risky sana cz kuna trafficlights nyingi....kuna jamaa yangu alipata ajali hpo saintpeters b4 gapco gari ikarukia upande wa pili kma anarudi twn wakti alikua anaenda mwenge.
mpka leo hayuko sawa familia ilimpeleka india bt still maumivu hayaishi ilikua 2013
daah we kweli sumuSasa mkuu mimi nikifariki watakaoumia zaidi ni wazazi wangu na ndugu zangu wa karibu ila huyu mwenzetu msiba wake umewagusa zaidi warembo wa mjini. Si ndo kuyafaidi maisha kwenyewe huku?
Mkuu hii mambo ya magari hainaga kulewa, waeza kua mzima akaja mlevi akakubutua alooo, daaah RIP mshkaji wake mtoa thread
ha ha ha ha ha haaaaa daaah waungwana tupunguziane kuvunjana mbavu basi duuuuu ha haaaaa....hawa wadada wanaopenda kunyony../ mgegedo wakati ukiwa unadrive ni wabaya sana !!/
akili huwa zinajam kabisa/
rip.
inaonekana crocodiletooth amekukuna kwenyewe mpaka umefurahi mkuu..hongera kwa kufurahi mkuuha ha ha ha ha haaaaa daaah waungwana tupunguziane kuvunjana mbavu basi duuuuu ha haaaaa
Acha ubonobo wewee umetumwa au!!?inaonekana crocodiletooth amekukuna kwenyewe mpaka umefurahi mkuu..hongera kwa kufurahi mkuu
hv kushika mapaja wakat unaendsha gari unapata nini!?..si usubir mufike ndo muanze kupandshana shetanhii ya mapaja inaponza vijana wengi
Sasa mkuu isipowekwa picha tutamjuaje marehemu? Au aweke ya kwako....Umeruhusiwa kuweka picha yake kwenye mitandao na familia yake? Sometimes unaweza kudhani unatoa habari lakini wanafamilia hawapendi au mbaya zaidi labda marehemu alikuwa hapendi kujiweka kwenye mitandao. Msinichukie nauliza tu.
Umeruhusiwa kuweka picha yake kwenye mitandao na familia yake? Sometimes unaweza kudhani unatoa habari lakini wanafamilia hawapendi au mbaya zaidi labda marehemu alikuwa hapendi kujiweka kwenye mitandao. Msinichukie nauliza tu.
Aya bwana, endelea kujidai hujaelewa swali langu.Sasa mkuu isipowekwa picha tutamjuaje marehemu? Au aweke ya kwako....
Tutafutie ndugu zake tuombe kibali cha kuposti taarifa za huu msiba JFAya bwana, endelea kujidai hujaelewa swali langu.
Marais ni public figures, huyu ni marehemu sasa tena ameaga kwa ajali mbaya huoni kuna haja ya kupata ridhaa ya familia kabla ya kupost picha zake?picha za marais tu zinawekwa sembuse huyo...
siyo taarifa, naongolea picha.Tutafutie ndugu zake tuombe kibali cha kuposti taarifa za huu msiba JF
Speed 140KMPH unakua unaenda wapi kwa Dar es Salaam hiyo?Normal speed sana akishapiga masanga ni speed istoshe wengi bdo hawana uzoefu wa kucontrol magari.....kwahiyo barabara gari ukiwa 140speed ucku ni risky sana cz kuna trafficlights nyingi....kuna jamaa yangu alipata ajali hpo saintpeters b4 gapco gari ikarukia upande wa pili kma anarudi twn wakti alikua anaenda mwenge.
mpka leo hayuko sawa familia ilimpeleka india bt still maumivu hayaishi ilikua 2013
Taarifa inaambatana na picha mkuu, upo hapo?siyo taarifa, naongolea picha.
Speed 140KMPH unakua unaenda wapi kwa Dar es Salaam hiyo?