Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Tialisawa mkuu ni PM namba yako twende sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tialisawa mkuu ni PM namba yako twende sawa
Unafiki mtupu. Hakuna mtu aliyeguswa anayekumbuka kupiga screenshots za msg, voice notes, picha zake na marehemu Kuweka online ili iweje.Hahahahaha na kabla hawajaanza kulia wanaji cream kabisa mapoda nini ili makunyanzi yao usoni yasionekane..unafki mtupu mtu ufiwe ukumbuke kujipaka lipstick!
Mkuu ukitaka kwenda nistue nikupe nguo za mwanangu kwa ajili ya pasaka, utanifikishia Kialilo kwa mama yake.Kama kuna group niunge tu nitakuja huko Pasaka au kabla
Nnimewamis Sana malecture wetu wakina mzava, mirindo, mandope, na mmoja hivi mlokole, dah umenikumbusha mbaliSikuwa nae drs 1...Chuo chenyewe si unajua kwa kupiga panga (DISCO) ..
Nahisi DL 1 ni kati ya 2013 au 2011........ nadhani alikuwa ni certificate
Umesoma mwaka gani?Nim
Nnimewamis Sana malecture wetu wakina mzava, mirindo, mandope, na mmoja hivi mlokole, dah umenikumbusha mbali
Sema ulifeli kwasababu ya ukilaza wako,hakuna chuo kisicho na Disco.Sikuwa nae drs 1...Chuo chenyewe si unajua kwa kupiga panga (DISCO) ..
Nahisi DL 1 ni kati ya 2013 au 2011........ nadhani alikuwa ni certificate
Sawa nimekusomaSema ulifeli kwasababu ya ukilaza wako,hakuna chuo kisicho na Disco.
Mkuu una hakika mimi wa Insta? Kuwa na adabu kwa wakubwa zako.Mimi wa JF na nina heshima kubwa hapa JF.Hahahaha
Hakuna maelezo ya maana,kwa sbbu marehemu nae ni wale wale wauza sura wa mjini, ambao akila mihogo asubuhi picha insta,akila dagaa mchana picha insta,jioni akiwa kwenye kiwanja sijui cha wapi,picha insta,na alieitoa mada nae pia ni wa Insta!
Naona hapa Mapozi ndo pamechangamka.
Nimecheza sana Taarab usiku wa kuamkia leo na watoto wa Pwani. Nimeanza kuipenda Pwani kwa kweli.
Nikirudi tena nitakaribia huko Donge.
Mh kialilo kwa nani pale? Inawezekana tunafahamianaMkuu ukitaka kwenda nistue nikupe nguo za mwanangu kwa ajili ya pasaka, utanifikishia Kialilo kwa mama yake.
Kwa mama shemdolwa, ukipita kialilo kama unataka kuanza msitu ule ambao unatokezea sinza, mkono wako wa kulia ndio hapo.Mh kialilo kwa nani pale? Inawezekana tunafahamiana
Dochi pale ukinyoosha moja kwa moja na barabara kuna vijiji huko kuna mganga mmoja anaitwa mzee Nyange, ni hatari sana.Nadhani serikali ikimtumia basi makontena yaliyoibwa bandarini yataonekana.Sasa Dochi ndio home lakini huku chini darajani
Tunafahamiana vizuri sana na huyo mzeeDochi pale ukinyoosha moja kwa moja na barabara kuna vijiji huko kuna mganga mmoja anaitwa mzee Nyange, ni hatari sana.Nadhani serikali ikimtumia basi makontena yaliyoibwa bandarini yataonekana.
Alaaaaa kumbe ndo maana huyu demu leo alijipost insta akiwa analia...Mkuu pitia instagram za wadada wa mjini uone wanavyoshindana kuelezeq jinsi
Mmmhh basi wewe noma, ndio maana unapenda maruwani. Alishawahi nisaidia mali zangu zikarudi ndani ya siku tatu.Almanusura amfanye mtu kichaa ila nikamsamehe mwizi wangu.Tunafahamiana vizuri sana na huyo mzee
Kuna mengi acha nisiyaseme hapa kwenye post ya marehemuMmmhh basi wewe noma, ndio maana unapenda maruwani. Alishawahi nisaidia mali zangu zikarudi ndani ya siku tatu.Almanusura amfanye mtu kichaa ila nikamsamehe mwizi wangu.
Mkuu pitia instagram za wadada wa mjini uone wanavyoshindana kuelezeq jinsi walivyoguswa na msiba,ajabu kila mmoja anadai alikuwa karibu na marehemu.