Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Nim
Sikuwa nae drs 1...Chuo chenyewe si unajua kwa kupiga panga (DISCO) ..
Nahisi DL 1 ni kati ya 2013 au 2011........ nadhani alikuwa ni certificate
Nnimewamis Sana malecture wetu wakina mzava, mirindo, mandope, na mmoja hivi mlokole, dah umenikumbusha mbali
 
Hahahaha
Hakuna maelezo ya maana,kwa sbbu marehemu nae ni wale wale wauza sura wa mjini, ambao akila mihogo asubuhi picha insta,akila dagaa mchana picha insta,jioni akiwa kwenye kiwanja sijui cha wapi,picha insta,na alieitoa mada nae pia ni wa Insta!
Mkuu una hakika mimi wa Insta? Kuwa na adabu kwa wakubwa zako.Mimi wa JF na nina heshima kubwa hapa JF.
 
Naona hapa Mapozi ndo pamechangamka.

Nimecheza sana Taarab usiku wa kuamkia leo na watoto wa Pwani. Nimeanza kuipenda Pwani kwa kweli.

Nikirudi tena nitakaribia huko Donge.


Hii habari ya Kilindoni?
 
Sasa Dochi ndio home lakini huku chini darajani
Dochi pale ukinyoosha moja kwa moja na barabara kuna vijiji huko kuna mganga mmoja anaitwa mzee Nyange, ni hatari sana.Nadhani serikali ikimtumia basi makontena yaliyoibwa bandarini yataonekana.
 
Dochi pale ukinyoosha moja kwa moja na barabara kuna vijiji huko kuna mganga mmoja anaitwa mzee Nyange, ni hatari sana.Nadhani serikali ikimtumia basi makontena yaliyoibwa bandarini yataonekana.
Tunafahamiana vizuri sana na huyo mzee
 
image.png
Mkuu pitia instagram za wadada wa mjini uone wanavyoshindana kuelezeq jinsi
Alaaaaa kumbe ndo maana huyu demu leo alijipost insta akiwa analia...
 
Mmmhh basi wewe noma, ndio maana unapenda maruwani. Alishawahi nisaidia mali zangu zikarudi ndani ya siku tatu.Almanusura amfanye mtu kichaa ila nikamsamehe mwizi wangu.
Kuna mengi acha nisiyaseme hapa kwenye post ya marehemu
 
Mkuu pitia instagram za wadada wa mjini uone wanavyoshindana kuelezeq jinsi walivyoguswa na msiba,ajabu kila mmoja anadai alikuwa karibu na marehemu.

Hakua anampa ofa le mbebezz mana lazma angekuja kwenye huu uzi....cunajua mbebezz nae muuza sura wa twn
 
Nahisi marehemu alikuwa analipa sana bill ndiyo maana anajulikana na baadhi ya "watu wa kwa Sadala"
 
Back
Top Bottom