Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
trafiki wamebakia na usiongee na simu/hv kushika mapaja wakat unaendsha gari unapata nini!?..si usubir mufike ndo muanze kupandshana shetan
kamaliza mwaka gani jamani, nilikuwa pale pia.Kaka kumbe jamaa tumesoma nae Chuo cha uongozi wa Mahakama (IJA) Lushoto lakini sikufahamiana nae
Its so sad
Ndo nauliza wanakua wanaenda wapi na wanawahi nini?ucku mnene hiyo barabara wa2 wanajiachia kma formula 1
unakuta wanapashahv kushika mapaja wakat unaendsha gari unapata nini!?..si usubir mufike ndo muanze kupandshana shetan
Na hiyo class yao pale Neema Trust mtihani wa form six walipata zero karibia wote.. Shule ilikuwa ya mwisho ya pili kutoka chiniAlikuwa na demu wake nae yuko ICU, anajuana na mastar wengi ni kwa kuwa ni bataboy mtoto wa kishua, nilimuacha shule A - level ye na wenzake akina Arme Nando, Godzilla n.k na hiyo class yao imetoa vijana wasumbufu sana hapa town kwa bata
Marais ni public figures, huyu ni marehemu sasa tena ameaga kwa ajali mbaya huoni kuna haja ya kupata ridhaa ya familia kabla ya kupost picha zake?
Sikuwa nae drs 1...Chuo chenyewe si unajua kwa kupiga panga (DISCO) sijui km alimaliza !!!..Kkamaliza mwaka gani jamani, nilikuwa pale pia.
Tutafutie ndugu zake tuombe kibali cha kuposti taarifa za huu msiba JF
Heri utozi kuliko kuwa mchafu![]()
alikuwa tozzy!
rip.
Sawa nimekupata mkuu.Taarifa inaambatana na picha mkuu, upo hapo?
Sawa kila mtu na opinion yake hamna haja ya kuwa mkali.we vipi? mbona wamepost picha nzuri tu, wangepost ya ajali mtu kafumuka ubongo hapo nongwa!
Sawa kila mtu na opinion yake hamna haja ya kuwa mkali.
sawa mkuu ni PM namba yako twende sawaKama kuna group niunge tu nitakuja huko Pasaka au kabla
Ndo nauliza wanakua wanaenda wapi na wanawahi nini?