GABRAISON6
Member
- Dec 31, 2015
- 24
- 3
Mie ushawahi niona??Sijawahi mwona Dar. Atakuwa mtu wa kawaida. Angekuwa maarufu ningemfahamu. RIP Mate wa mtoa post
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ushawahi niona??Sijawahi mwona Dar. Atakuwa mtu wa kawaida. Angekuwa maarufu ningemfahamu. RIP Mate wa mtoa post
As'salaaam alekyum.... Rudisha tu ile Avator yako Madam.. Achana na lile Popoma.. What makes Tom happy is not so to Jerry, binafsi nikiangalia sura yako najisikia raha moyoni... Yeye Kama haimbariki ni yeye tu. usikute huyo mwanamke wake anamiguu Kama kuni za nyongeza kweli thus why akamind... Wewe ni mrembo sana... MUZURI SANA.Insta ndio habare e rip
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wachaaaaAs'salaaam alekyum.... Rudisha tu ile Avator yako Madam.. Achana na lile Popoma.. What makes Tom happy is not so to Jerry, binafsi nikiangalia sura yako najisikia raha moyoni... Yeye Kama haimbariki ni yeye tu. usikute huyo mwanamke wake anamiguu Kama kuni za nyongeza kweli thus why akamind... Wewe ni mrembo sana... MUZURI SANA.
OMG!! aisay mamilionea wanakuua !!Oook......RIP kijana.........lakini nataka nijue......alikuwa milionea.....?........
RIP. Ina maana alikuwa mwendo kasi, kanywa, anatuma sms, na kupapasa mapaja kwa wakati mmoja?Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.
Mwendokasi unaua...
Usinywe pombe na kuendesha...
Usiendeshe huku ukituma sms...
Usiendeshe ukipapasa mwanamke mapaja...
na kuacha anasaPia tufunge mikanda
Mkuu mdogo wetu zake zilikua zometimiaVIJANA WANAPUKUTIKA KATIKA UMRI MDOGO SANA,HUKU NDO KWANZAA WANAANZA KUENJOY MAISHA.
KUNA LA KUJIFUNZA HAPA,HILO GARI INAONESHA NI MWENDOKASI NA LIKAMSHINDA AKAENDA KUIVAA NGUZO UBAVUNI.