Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu si ashakufa we sema rip basi, si unaona mleta mada kasema kuwa totoz ndio watammiss sana. Kama humjui basi preta tufanye yaliyopita si ndwele. Au vipi?Ni nani.......?......
Kweli mkuu hapo ndio ukute kanywa pombe, anaendesha kwa speed,alafua anataka kupima oil.hii ya mapaja inaponza vijana wengi
Ati amaeyafurahia maisha? Hajafika hata 30's duuuh!! In short inawezekana alijisahau na totoz nyingi nini na nini biere basi tafrani
Duuh! Labda sijaelewa maana yako au umavjokimaanisha la sivyo utakuwa umemwaga sumuSasa mkuu mimi nikifariki watakaoumia zaidi ni wazazi wangu na ndugu zangu wa karibu ila huyu mwenzetu msiba wake umewagusa zaidi warembo wa mjini. Si ndo kuyafaidi maisha kwenyewe huku?
Mtu si ashakufa we sema rip basi, si unaona mleta mada kasema kuwa totoz ndio watammiss sana. Kama humjui basi preta tufanye yaliyopita si ndwele. Au vipi?
hapo upo Mapozi, Ibiza au Dunguni? Karibu huku Donge...Inaonekana marehemu (apumzike kwa amani) alikuwa ana uwezo wa kuingia bar akanunua bia za laki tatu ndo akawa celeb wa eneo lake la kujidai.
Nchi kubwa hii jamani. Kuna watu tunaishi huku Kilindoni, Mafia.
CCTV ya kwenye gari ndio itawapa taarifa ndugu zake kuwa jamaa alizamia humoKweli mkuu hapo ndio ukute kanywa pombe, anaendesha kwa speed,alafua anataka kupima oil.
Sijawahi mwona Dar. Atakuwa mtu wa kawaida. Angekuwa maarufu ningemfahamu. RIP Mate wa mtoa postAjali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.
Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).
Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.
Mwendokasi unaua...
Usinywe pombe na kuendesha...
Usiendeshe huku ukituma sms...
Usiendeshe ukipapasa mwanamke mapaja...
RIP Kelvin Kaloosh
View attachment 320314View attachment 320322
hapo upo Mapozi, Ibiza au Dunguni? Karibu huku Donge...
Pamoja na kifo chake,tuliobaki tunajifunza nini...???
Kwa mtazamo wako...na vipi ukiambiwa turudi kwenye msitari wa maadili ya dini zetu utakubakiana na wazo hilo.Tuyafurahie maisha to the fullest.