Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

mkuu hii dhana imeleta shida na vifo vingi sana Africa, kwa kuendelea kwetu kuendekeza huu ujinga na upumbavu tumeshindwa kutatua matatizo mengi ambayo yametufanya tuendelee kuwa masikini na kuachwa nyuma kwa kila kitu na dunia inayokimbia....

KUANZIA ASIA,ULAYA MPAKA AMERICA huwa hakuna kitu kinaitwa bahati mbaya, ila watu wa AFRICA tunaamini kuna bahati mbaya katika uzembe..
Uzembe huwa ni uzembe tu na hakuna namna nyingine,, huwezi ukawa na maisha duni wakati ulipata hela ukatombea, ukalewea na ujinga mwingi halafu ukawaambia watu wewe kuwa na maisha duni ni bahati mbaya, huwezi kuzembea shuleni na ukasumbua wale waliokulazimisha usome kwa bidii halafu siku za usoni mambo yako yakiwa magumu eti ukasema ni bahati mbaya...

hata vifungu vya bible vilishasema mahali "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" pia binadamu amepewa akili ili aitawale dunia...
ukifa kwa uzembe lazima watu wengine waambiwe MAREHEMU ALIKUWA MZEMBE, hii itasaidia watu wasirudie makosa ya Marehemu...
pia uzembe unaweza ukawa haujasababishwa na Marehemu ila kifo cha Marehemu kinaweza kuwa ni matokeo ya uzembe uliosababishwa na mzembe au wazembe wengine....

MKUU, WE ARE IN THE SAME BOAT, LETS WORK HARD....TUSIAMINI KWENYE BAHATI MBAYA, TUSIRUHUSU UZEMBE KWENYE MAISHA YETU...
Naona unajaribu kuandika kama mtu mmoja mwerevu kumbe bado hujitambui. "Eti Afrika tunaamini" bahati mbaya katika jambo la uzembe lakini sehemu zingine duniani ni tofauti.Yaani unatumia neno "tunaamini" authoritatively bila ya kujua kwamba labda ni wewe peke yako na baadhi ya wale uliowai kuwa nao karibu au kuishi nao.
 
Screenshot_2016-02-05-08-13-24.png
Screenshot_2016-02-05-08-13-31.png


Mwisho wa Movie
 
Ajali hii imetokea jijini Dar, karibu na Ubalozi wa Kenya usiku wa kuamkia leo.

Pole sana wafiwa na wote walioguswa na msiba hasa mabinti wauza sura wa mjini (Wadada wa mjini).

Binafsi nimesikitika maana marehemu nimesoma nae japo nilikuwa darasa moja mbele yake.

RIP Kelvin Kaloosh

View attachment 320543
Gari baada ya kupata ajali (Eneo la Tukio)

View attachment 320544
View attachment 320556
Marehemu enzi za uhai wake
View attachment 320545
Majeruhi aliyekuwa na marehemu kwenye gari
huu ubishoo huu hadi hospital wanapiga selfies?? hiv hawajapiga selfie na maiti kweli hawa?? maana hawa vijana wa siku hiz wana utindio wa ubongo
 
Nimeona insta ya martin kadinda anamlilia pia, sasa sijui naye alikua ......( namaanisha mbunifu wa mavazi sio kama unavyowaza)
Ndio wale wale kasoro majina, huoni huyo davtor anavyojiliza utadhani kaachwa mjane, sitaki umbea mieee nimeokokoa
 
Back
Top Bottom