iGodmanhustler
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 609
- 339
Ahaa i get it..sasa NSSF inaingiajeshabiki wa mtandao wenye kifurushi maarufu cha chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa i get it..sasa NSSF inaingiajeshabiki wa mtandao wenye kifurushi maarufu cha chuo
Nasikia watu wanaulizana humu marehemu alikuwa na kazi gan mpaka awe maarufu...Wauza sura hapo sipati picha...simu marashi mavazi na hata magari ya kuazima vyote vipo hapo
Huwezi mjua kama wewe sio Pusha, mla ngada na hujichanganyi na maceleb wa Bongo.... Ndio deal zake marehemu
Huna kazi unasukuma nissan teana
..smh
Bongo saridalama acha kabisaNasikia watu wanaulizana humu marehemu alikuwa na kazi gan mpaka awe maarufu...
Huwezi mjua kama wewe sio Pusha, mla ngada na hujichanganyi na maceleb wa Bongo.... Ndio deal zake marehemu
Huna kazi unasukuma nissan teana
..smh
Huendeshi Teana hapa mjini kwa bahati mbaya na huna shughuli ya kueleweka
Alikuwa anasukuma ngada ???!!!!!!
mkuu wa2 wanakufa n ajali ikiwa chanzo ni ulevi mnasingizia mengine...ulevi ndio chanzo cha ajali hiyo dhuluma itakua maneno 2Huendeshi Teana hapa mjini kwa bahati mbaya na huna shughuli ya kueleweka
Na kundi lake wanapukutika kwa ajali.... Alianza jimmy
Wamuombe msamaha waliomuingilia kwenye kumi na nane zake...atawamaliza
Town hapa ohooo!
Mkuu ukiamua kufuatilia maisha ya watu hapa mjini utachoka mwenyewe....Kwa hiyo hadi leo marehemu hajulikani kazi yake..sasa umaarufu wake ulitokana na nini
walikua wote mpk night hiyo nahisi,maana insta masogange alipost video wakiwa wote somewhere huku huyo Davto akikata mauno jamaa yuko nyuma yake muda mfupi kabla kutangaza kifoNdio wale wale kasoro majina, huoni huyo davtor anavyojiliza utadhani kaachwa mjane, sitaki umbea mieee nimeokokoa
Hivi pale jumba la big brother bado lipo?Ha ha haaa hata hapo Kilindoni kuna wengine ni maceleb wa Mapozi na wengine kwa Thadei!!
Ñi kweli mkuu kuna jamaa mmoja analala hom kwake kuanzia saa kumi na moja asubuhi hadi saa saba mchana akiamka anaenda kushinda ma club haijulikana kazi anayo fanya sa angalia hela aliyo nayo sasa nyumba za maana magari makali! Mjini ukiifuatilia mambo ya watu yakwako lazma uchelewe kuyafanyaMkuu ukiamua kufuatilia maisha ya watu hapa mjini utachoka mwenyewe....
Ndio maana kuna ule msemo kwamba "mind your own business"
Mji una mambo mengi sana huu.
hajui ndo topic tupendazo waswahili..lolHahahaha,anaweka na msisitizo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mi nimesema tu, hayo mengine sema wewemkuu wa2 wanakufa n ajali ikiwa chanzo ni ulevi mnasingizia mengine...ulevi ndio chanzo cha ajali hiyo dhuluma itakua maneno 2
Wabongo wamezoea maisha ya kukariri. Kila mtu aamke saa 11 asubuhi arudi saa tatu usiku. Ndio maana kuna watu hawana kazi ila lazima atoke aende mjini arudi jioni,ndio wale wamejaa kwenye shoe shine corners.Ñi kweli mkuu kuna jamaa mmoja analala hom kwake kuanzia saa kumi na moja asubuhi hadi saa saba mchana akiamka anaenda kushinda ma club haijulikana kazi anayo fanya sa angalia hela aliyo nayo sasa nyumba za maana magari makali! Mjini ukiifuatilia mambo ya watu yakwako lazma uchelewe kuyafanya
Kaloosg ndio basi tena? Aisee mjini bwana