Ajali Mbeya: Mmoja afariki na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha Hiace na Lori la mafuta

Ajali Mbeya: Mmoja afariki na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha Hiace na Lori la mafuta

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Kumetokea ajali asubuhi ya leo Juni 07, 2020 katika eneo la Mbembela jijini Mbeya iliyohusisha gari dogo la abiria aina ya Hiace, lori la mafuta, lori la bidhaa na Bajaji.

Katika ajali hiyo Mtu mmoja amefariki na wengine wanne kujeruhiwa baada ya lori hilo lililokuwa limebeba mafuta kufeli breki na kugonga daladala hiyo ambalo lilikuwa limebeba watu wanne.
1591609605118.png
 
Mbeya nini tena,kulikuwa kumetulia muda mrefu,tuendelee na maombi...
 
Back
Top Bottom