Hizo Costa napenda Sana kuzitumia kwenda Moshi ,ila wanapakia abiria kwa kujificha ficha Sana ,sikujua Kama wanawakimbia Sumatra ,kwani Ni kosa kusafisha abiria usiku ?Nina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.
Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...
Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
Jisome mkuu..isije kuwa una connection napo...Ni sehemu moja ambayo kwa dereva anayechukua tahadhali hiyo sehemu ni kama ina mvutano hivi hauelezeki, lakini sio sehemu salama sana kwa nguvu tu za kibinaadam, hiyo sehemu nimekuwa nikipita mwili unasisimka kabisa, yaan unastukia tu ushalizua la kuzua. Kuna vipande huwa siviamini kabisa, mikese- moro, segera- tanga- na kipande cha dumila- gairo, huwa naongeza umakini sana njia hizo,
Endelea kuishi maisha yaliyopita.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Isingetangazika tuIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Pls ujirudie tena kuijibu komenti yangu, sawa!??? Tusilaumiane 🙂Endelea kuishi maisha yaliyopita.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Iyo gari ndogo plate number sio ITRafiki yangu kaondokewa na baba yake mkubwa, alipanda IT nafikiri ndo hiyo gari ndogo iliyotajwa hapo akielekea msibani.
Maisha haya yana fumbo, kaishia njiani kabla hata ya kufika msibani[emoji22][emoji24].
Iyo gari ndogo plate number sio IT
Pole Sana. Ni huyu Mzee wa Kibaha Kwa Mfipa? Ameniuma sanaRafiki yangu kaondokewa na baba yake mkubwa, alipanda IT nafikiri ndo hiyo gari ndogo iliyotajwa hapo akielekea msibani.
Maisha haya yana fumbo, kaishia njiani kabla hata ya kufika msibani[emoji22][emoji24].
Mhhh taratibu wewe mjamaaWakat wa jpm kuna upumbavu mwingi kuliko huo sema aliwalisha wajinga sumu wakamuona ni Mungu mtu !!! Kamfufueni kwa msaada wa gwajima
Walikuwa wanakiita kifo, Mungu hadhihakiwi. Wao ndio wakawa maiti. Akili za kijinga sana hizi[emoji15][emoji15]Kwahio wasafiri wanajifanya wanaomboleza kilio kumbe janja janja
Abiri nao walikuwa wapuuzi!! Gari linakimbia mnamsaidia dereva kukufuru, haya sasa imekuwa msiba kweli!!!! Mliombea ba imekuwa. Shetani anasubiri tu mtu anafanya nini na anafanya yake!!! Anyway pole zao wote waliofiwa.View attachment 1826436
Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani
Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.
Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.
My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?
Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.
====
Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.
Mwendazake ana points zake positive nyingi tu. Hatahii budget ya kipuuzi isingepita angekuwepo. Waziri angeliwa kichwa!! Si mnamkumbuka mkurugenzi wa Tanesco aliyetaka kuongeza bei ya Luku? Aliliwa kichwa. Na mauzauza yote aliyofanya kuna vitu vingi vizuri alifanya. Yaani unamlipisha kila mwananchi kodi ya jengo kwa kupitia manunuzi ya luku? Vocha na sim card unazilipia kodi every month? Pombe ndiyo unaishusha bei ili wajinga wainywe sana wafupishe maisha yao!!!! Ukinywa sana pombe unfupisha life span yako!!! Ujinga huu usingefanywa kabisa!!!! Tutaona mengi sana ya kipuuzi,Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Kabla hamja ingia ndani makonda wanawalazimisha mkubali wenyew kabisa kuwa mnaenda kwenye kilioKwahio wasafiri wanajifanya wanaomboleza kilio kumbe janja janja
Hili suala lipoNina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.
Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...
Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
HahahahKabla hamja ingia ndani makonda wanawalazimisha mkubali wenyew kabisa kuwa mnaenda kwenye kilio
Dah kweli ni msalaWalikuwa wanakiita kifo, Mungu hadhihakiwi. Wao ndio wakawa maiti. Akili za kijinga sana hizi[emoji15][emoji15]
Akili za majitaka hizi ninyi wasukuma mavi ile ajali ya Moto Morogoro,kivuko mwanza wabafunzi kule Arusha Rais alikuwa Baba yako?? Mbona mnakuwa na akili ndogo kiasi hiki jamani??Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!