Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

izo coaster zikichanganya kule mbele inanesa nesa utamu-utamu hadi raha,

ikiwa mpya ndio kabisa, ngoma inapiga 0 to 60 in 15 seconds

kwa mbaali ukisikilizia pistons zikilalamika kama uko karib na maeneo ya mbele pale

karaha ni hiyo ajali , poleni sana wafiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe jamaa bhana
 
H

Ww ndio taga usiejua tunafahamu SSH ndie rais wa tz na shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM, may his precious soul rest in eternal peace and power, amen[emoji120]) amerudi nyumbani kwa Muumba! Pia tunajua alikuwa mkweli kwetu watz, siyo kama saleout wengine [emoji848]! Tunaomba sana Mungu mama yetu huyu SSH atafuata nyayo za mtangulizi wake [emoji120]!
Takataka wewe
 
Akili yako ni takataka na ndio ikijuacho...na katu sio mimi, ww unajua na wote wanajua😜!
 
Back
Top Bottom