Salaam
Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili, anaopata mtu kutokana na changamoto za maisha.
Mtu akidrive, huku ana msongo ni rahisi sana kusababisha ajali coz akili inakua haipo active barabarani.
Tujiepushe kudrive, tukiwa na msongo mkali coz madhara yake ni mabaya kwa maisha yetu na wenzetu.
Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili, anaopata mtu kutokana na changamoto za maisha.
Mtu akidrive, huku ana msongo ni rahisi sana kusababisha ajali coz akili inakua haipo active barabarani.
Tujiepushe kudrive, tukiwa na msongo mkali coz madhara yake ni mabaya kwa maisha yetu na wenzetu.