Ajali nyingi husababishwa na msongo wa mawazo

Ajali nyingi husababishwa na msongo wa mawazo

Unaona je nurses, madaktari, makarani, secretaries, walimu, nk wangekuwa wanaweza kuwa kwenye faini au pingu kutokana tu na utendaji wao kazi wa kila siku?
Wana mamlaka inayowasimamia, ya usimamizi ukiwa Dokta,,Nurse, Accountant, auditors, Lawyer, Architeturer, ukizingua leseni inaondolewa mpaka urusi kwenye vigezo.

Binadamu lazima wasimamiwe hadi Rais ili kuwe na uwajibikaji.
 
Wana mamlaka inayowasimamia, ya usimamizi ukiwa Dokta,,Nurse, Accountant, auditors, Lawyer, Architeturer, ukizingua leseni inaondolewa mpaka urusi kwenye vigezo.

Binadamu lazima wasimamiwe hadi Rais ili kuwe na uwajibikaji.

Kwanini madereva wasiwe na zao za kitaaluma kuwasimamia?

Kwani ulisikia hiZo za kitaaluma zikitoza faini au kufunga watu pingu?
 
Kwanini madereva wasiwe na zao za kitaaluma kuwasimamia?

Kwani ulisikia hiZo za kitaaluma zikitoza faini au kufunga watu pingu?

Taaluma ni nini? Traffic officers ni wanataaluma kuhusu barabara.

Police wanasomea upolisi baadaye wana-focus kusomea sheria, taratibu na kanuni za barabarani ndio wanakuwa, wanaitwa traffic officer.

Nini kinawakwamisha mishahara midogo, wawe na kamera kila mmoja kurekodi kila maongezi na madereva.

Unafikiri mishahara yao ikianzia milioni mbili na wana camera itapunguza rushwa? Kila mwananchi afaidika?
 
Nakubaliana na wewe kuna kipindi ili bidi nijipe miezi mitatu bila kuendesha gari kabsa wala kutembea sana mjini .maana nilikuwa najikuta nasahau kama niko barabarani nawaza mambo mengine kabsa
 
Taaluma ni nini? Traffic officers ni wanataaluma kuhusu barabara.

Police wanasomea upolisi baadaye wana-focus kusomea sheria, taratibu na kanuni za barabarani ndio wanakuwa, wanaitwa traffic officer.

Nini kinawakwamisha mishahara midogo, wawe na kamera kila mmoja kurekodi kila maongezi na madereva.

Unafikiri mishahara yao ikianzia milioni mbili na wana camera itapunguza rushwa? Kila mwananchi afaidika?

Polisi was usalama barabarani hana utaalamu wowote wa gari au hata uendeshaji kama taaluma.

Kinana aliondoa hawa watu barabarani na kukawa murua kabisa.

Wameanza kurudi, Hawa ni wa kuondoa.

Polisi alipwe milioni 2? Kumbe Daktari au mwalimu walipwe je?

Angalizo: wenye mishahara mikubwa ndiyo wala rushwa zaidi.
 
Polisi was usalama barabarani hana utaalamu wowote wa gari au hata uendeshaji kama taaluma.

Kina aliondoa hawa watu barabarani na kukawa murua kabisa.

Wameanza kurudi, Hawa ni wa kuondoa.

Angalizo; hakuna wenye mishahara mikubwa ndiyo wala rushwa zaidi.

Kama unafikiri Traffic hawasaidia chochote, hawajui sheria , kanuni, taratibu za barabara na kwamba kama unalipwa pesa hata kulipa kodi, chakula, elimu ya watoto ni shida haichangii rushwa. Tuishie hapa. Kuna level za mijadala bila itikadi, mihemuko, ukiwa huru kuliangalia tatizo kwa mapana yake na jinsi la kulisahihisha na kuweka mambo sawa.
 
Kama unafikiri Traffic hawasaidia chochote, hawajui sheria , kanuni, taratibu za barabara na kwamba kama unalipwa pesa hata kulipa kodi, chakula, elimu ya watoto ni shida haichangii rushwa. Tuishie hapa. Kuna level za mijadala bila itikadi, mihemuko, ukiwa huru kuliangalia tatizo kwa mapana yake na jinsi la kulisahihisha na kuweka mambo sawa.

GXR_UGqWoAA02YB.jpeg


Watu wa namna hii hawastahili mishahara ni wa kuondoa barabani na ajali zitapungua.
 
utajuaje kuwa una msongo wa mawazo

Unajua ni kitu kigumu sana kuamua kutokwenda kazini. Ndio maana nasema kuwe na mamlaka ya ukaguzi hata kila wiki, mwezi kupima vilevi, mtu yuko sawa.

Lakini muhimu zaidi Madereva kazi zao ziheshimiwe kwamba ni taaluma muhimu, wanatusafirisha wote, na mizigo yote. Hivyo walipwe mishahara ya kutosha. Kupewa break kila baada ya masaa kadhaa Kama manne hivi. Na pia wawe na Bima hata kama akipata tatizo msongo wa mawazo waweze kulipwa mishahara yao kamili kama miaka miwili ijao. Kuwe na therapy ambayo ni sehemu ya Bima, dereva anaweza kwenda wakati wowote kuongea kuhusu msongo wa mawazo.
 
Nakubaliana na wewe kuna kipindi ili bidi nijipe miezi mitatu bila kuendesha gari kabsa wala kutembea sana mjini .maana nilikuwa najikuta nasahau kama niko barabarani nawaza mambo mengine kabsa
Kuna kipindi niliuguza mtoto kwa mda mrefu, kuna siku nikiwa road mawazo yalinichukua nikajikuta nimesababisha ajali japo haikua na madhara makubwa.

Tangu wakati huo, najiepusha sana kudrive nikiwa na msongo.
 
Unajua ni kitu kigumu sana kuamua kutokwenda kazini. Ndio maana nasema kuwe na mamlaka ya ukaguzi hata kila wiki, mwezi kupima vilevi, mtu yuko sawa.

Lakini muhimu zaidi Madereva kazi zao ziheshimiwe kwamba ni taaluma muhimu, wanatusafirisha wote, na mizigo yote. Hivyo walipwe mishahara ya kutosha. Kupewa break kila baada ya masaa kadhaa Kama manne hivi. Na pia wawe na Bima hata kama akipata tatizo msongo wa mawazo waweze kulipwa mishahara yao kamili kama miaka miwili ijao. Kuwe na therapy ambayo ni sehemu ya Bima, dereva anaweza kwenda wakati wowote kuongea kuhusu msongo wa mawazo.
Umeshauri vyema mkuu.
 
Umeshauri vyema mkuu.
Mr.Sound tuuchukulie usalama barabarani serious sana. Mimi ndugu zangu, wenzangu wana vilema, wengine wametangulia mbele ya haki.

Chakula, kwenda popote kazini, kurudi, tunategemea usafiri. Tuifanye iwe kazi kama dereva wa mwendokasi, treni ya SGR, ndege za ATCL.
Hii taaluma iheshimiwe. Pesa zinazoibiwa na viongozi kila siku zinaweza kutosha kutumika kwa Bima, mishahara ya madereva, Mapolisi, walimu, Nurses, Doctors.
 
Imagine unachangamoto za kifamilia, za kikazi then unaingia road ukiwafikiria traffic unadhan utadrive kwa utulivu kweli?

Hata ukiwa huna changamoto, hao jamaa wana harras madereva hasa wa mabasi utadhani ni wahalifu.

Vipi madereva hao kuwa na utulivu kwenye kazi zao kwenye mazingira kama hayo?
 
Mr.Sound tuuchukulie usalama barabarani serious sana. Mimi ndugu zangu, wenzangu wana vilema, wengine wametangulia mbele ya haki.

Chakula, kwenda popote kazini, kurudi, tunategemea usafiri. Tuifanye iwe kazi kama dereva wa mwendokasi, treni ya SGR, ndege za ATCL.
Hii taaluma iheshimiwe. Pesa zinazoibiwa na viongozi kila siku zinaweza kutosha kutumika kwa Bima, mishahara ya madereva, Mapolisi, walimu, Nurses, Doctors.
Umenena vyema, madereva wakipata treatment nzuri wanazostahili, itarawarahisishia utekelezaji wa majukum yao.
 
Back
Top Bottom