M Mr. Sound JF-Expert Member Joined Sep 15, 2020 Posts 2,227 Reaction score 4,773 Oct 16, 2024 Thread starter #41 brazaj said: Hata ukiwa huna changamoto, hao jamaa wana harras madereva hasa wa mabasi utadhani ni wahalifu. Vipi madereva hao kuwa na utulivu kwenye kazi zao kwenye mazingira kama hayo? Click to expand... Upo sahihi mkuu, matrafiki wetu ni wasumbufu kupita kiasi, hawazingatii kabisa weledi wa kazi yao.
brazaj said: Hata ukiwa huna changamoto, hao jamaa wana harras madereva hasa wa mabasi utadhani ni wahalifu. Vipi madereva hao kuwa na utulivu kwenye kazi zao kwenye mazingira kama hayo? Click to expand... Upo sahihi mkuu, matrafiki wetu ni wasumbufu kupita kiasi, hawazingatii kabisa weledi wa kazi yao.