Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

Ndugu yangu hii nchi mifumo yake yote imeoza ,sio mwananchi wala serikali wote hatupendi kufuata sheria ,kuna baadhi ya nchi kupata driving license ni ishu lazima ufuate utaratibu waliojiwekea ,hapa kwetu mtu hata hajawahi kuendesha Lori anapewa leseni class E na polisi wanaandika katestiwa na Fuso wakati amejifunza na VITS tena Automatic unategemea nini
 
Tuna wachina wahindi waarabu wazungu na kabila zingine wote wana leseni za Tanzania ukiwauliza wamezipataje wanakwambia wametoa pesa za rushwa..what a fucked up country....tumeishi ughaibuni mpaka tukarudi home bila leseni za huko !!!shida kubwa ni utaratibu mgumu wa kuzipata
 
Its real a fucked up country ,inside out ,top down,bottom left .........hizo nchi za wenzetu wakati wa test tu unapoambiwa upaki gari kwa reverse na nafasi ya kupaki ipo katikati ya magari mawili ,unapoingia katikati ya hayo magari mawili tairi tu likagusa pavement tayari ni disqualified na hiyo ni leseni ya kawaida,kwa wanao endesha abiria au lori ni utaratibu mwingine kabisa watafuata ,sasa kama watu wapo sensitive kwa jambo dogo kama hilo ,Sisi huku tunachekelea kutoa Leseni ya kuendesha FIAT MBAULA kwa mtu aliyejifunza na PASO
Rushwa,rushwa ,rushwa
 
Segera au muheza habari ipo humu jf
Nimepokea taarifa za msiba wa ndugu yangu alikuwa kwenye hiyo ajali yeye alikuwa kwenye bus la Simba mtoto na mwishoni mwa January tulikuwa wote Tanga kwenye msiba wa ndugu yetu pia
 
Sio kila ajali ni mapenzi ya Mungu ajali nyingi ni uzembe na kutozingatia sheria za barabarani View attachment 320759View attachment 320760View attachment 320761
Kuna nyingi zaidi ya hizi picha,matukio kama haya huchukuliwa hatua gani?Hakuna nafikiri.Uzembe uliokithiri na mazoea yasiyo na weledi kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri.Na lingne ni Abiria pia ndio huanzisha na hayo.Hivi ikatokea tumetia bakora dereva aliyefanya matukio kama haya hapo juu ,kama tu sheria zimeshindwa kutusaidia.Abiria hatujielewi plus maderava wetu pia wote kundi moja.
 
1. Simba mtoto
2.Ngorika
3. J4 expresa
4. Luwinzo
5. Princess Muro

Haya mabasi ni majanga. Ni bora usisafiri au ulipe nauli kubwa zaidi kuliko kusafiri na haya mabasi.
 

Hakuna kitu kama hiki.
 
1. Simba mtoto
2.Ngorika
3. J4 expresa
4. Luwinzo
5. Princess Muro

Haya mabasi ni majanga. Ni bora usisafiri au ulipe nauli kubwa zaidi kuliko kusafiri na haya mabasi.
Unaweza kutusaidia takwimu za haya mabasi ili tusione kama kauli yako ni kuharibu biashara za watu??
 
Kila mmoja akipaza sauti tunaweza zuia izi ajali. Chonde chonde abiria tuungane pamoja kukemea madereva wanao hatarisha maisha yetu.
 
SERIKALI NA USALAMA BARABARANI WANALIJUA HILI LA MALORI YA MCHANGA,

HAIINGII AKILINI ETI WATU WACHACHE WENYE MALORI YAO WATAMBE BARABARANI KUTUUA NA KUSABABISHIA VILEMA VYA KUDUMU.

MALORI YALIKUWEPO SIKU NYINGI YAKITUUA NA KUTUNYANYASA BARABARANI, WANANCHI HATUNA AMANI.

AJALI YA LEO NI PIGO KWA KILA MWANANCHI MTEMBEA KWA MIGUU, BODABODA, GARI BINAFSI NA DALADALA.

NASEMA HAYA MALORI BAAASI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…