Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
hawa waendesha big bike mf bmw,harley davidson au ducati multstrada ni bodaboda au?
Hapana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa waendesha big bike mf bmw,harley davidson au ducati multstrada ni bodaboda au?
hayo waliofanya wanajehi ni uhuni kama uhuni mwinginekagonga serk kazii anayoo aiseeeeee
amenikumbhsha mbalii Feb kuna dalala lituovertake kumbe wanajeshi mbezi wamesimamisha magari mkuu anapita jamaa kawashaa motor kaiachia anafika anapigwa mkono akaunga gafla msafara wa mzee ukamkosakosa aisee walichonfanyia siri yake
alipigwaaa badaaee mjeshi akaingia akawasha gari kama anarudi goba unahisi alikuwa anaenda nae wapi sijui....
Aisee macho yako yapo vizuri . Mimi nikizoom naona vidotidoti tu.Ukizoom vizuri huyo sio bodaboda, ni pikipiki ya serikali STM 6338,. Endapo macho yako yapo vizuri ndo utaona.
Kwahiyo wale polisi wanaoongoza msafara wa mh rais pia bodaboda?!Ukiendesha miguu miwili we boda tu na kawaida akili huwa hamna!