kagonga serk kazii anayoo aiseeeeee
amenikumbhsha mbalii Feb kuna dalala lituovertake kumbe wanajeshi mbezi wamesimamisha magari mkuu anapita jamaa kawashaa motor kaiachia anafika anapigwa mkono akaunga gafla msafara wa mzee ukamkosakosa aisee walichonfanyia siri yake
alipigwaaa badaaee mjeshi akaingia akawasha gari kama anarudi goba unahisi alikuwa anaenda nae wapi sijui....