Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

"Njia ile ambayo siyo ya kusini" una maana gani? Ukiitwa we ni mkabila mpumbavu nakosea? Kwani ukijenga hoja bila kuchomekea upuuzi km huu ujumbe wako hauwezi kueleweka? Njia za kusini zina nini, we kujsini umefika sehemu gani. Kusini wapi we dondocha! Nafahamu kabila lakoili nisionekane mpuuzi km wewe sintaitaja.

hahahaha punguza hasira, kamaanisha kusini ndio kuna makaa ya mawe na magari ya makaa ya mawe mengi yanapita njia hiyo kupeleka kiwanda cha dangote
 
Alikutwa nazo, km huna taarifa sahihi si unyamaze kuna mtu anakulazimisha kutuletea huu upoyoyo? Unawashwa na nini. Hata hivyo ana umuhimu gani kiasi hicho ilhali ajali hutokea siku zote? km ni ndugu yako kaanzishe uchunguzi wako binafsi
Relax mzee hatuko vitani
 
"Njia ile ambayo siyo ya kusini" una maana gani? Ukiitwa we ni mkabila mpumbavu nakosea? Kwani ukijenga hoja bila kuchomekea upuuzi km huu ujumbe wako hauwezi kueleweka? Njia za kusini zina nini, we kujsini umefika sehemu gani. Kusini wapi we dondocha! Nafahamu kabila lakoili nisionekane mpuuzi km wewe sintaitaja.

Kaka naona umeenda mbali sana, hoja ya jamaa ni kwamba X balozi aligongana na gari la makaa ya mawe swali lake ni kwamba kama alikuwa anaenda Moshi KLM na alipata ajali handeni je njia hiyo kuna magari yanayobeba makaa ya mawe? yanatoka wapi yanakwenda wapi

maana ni wazi makaa ya mawe yanachimbwa Mikoa ya kusini,
 
Kaka naona umeenda mbali sana, hoja ya jamaa ni kwamba X balozi aligongana na gari la makaa ya mawe swali lake ni kwamba kama alikuwa anaenda Moshi KLM na alipata ajali handeni je njia hiyo kuna magari yanayobeba makaa ya mawe? yanatoka wapi yanakwenda wapi

maana ni wazi makaa ya mawe yanachimbwa Mikoa ya kusini,
Da jamaa anachekeshs jinsi alivyo panic, kumbe haelewi kitu,
Sidhani kama atarudi tena
 
Kuna mtu humu anaitwa De Pond alitoa makala/simulizi moja matata Sana akihusianisha tukio Hilo.... Mpaka Sasa huwa natafakari bandiko lake lile.... Linatafakarisha Sana.....


Heshima kwako De Pond.....

Nisaidieni kum-tag....
 
Kaka naona umeenda mbali sana, hoja ya jamaa ni kwamba X balozi aligongana na gari la makaa ya mawe swali lake ni kwamba kama alikuwa anaenda Moshi KLM na alipata ajali handeni je njia hiyo kuna magari yanayobeba makaa ya mawe? yanatoka wapi yanakwenda wapi

maana ni wazi makaa ya mawe yanachimbwa Mikoa ya kusini,
Nyie punguzeni speculation za ajab ajab....eneo hilo la tengwe siyo ajali
Ya kwanza kutokea
Hapo washakufa watu wengi na ajali
Hivi hilo eneo unalifaham lakini lilivyokuwa...???

Ova
 
Kuna mtu humu anaitwa De Pond alitoa makala/simulizi moja matata Sana akihusianisha tukio Hilo.... Mpaka Sasa huwa natafakari bandiko lake lile.... Linatafakarisha Sana..
Naomba hiyo link
 
Da jamaa anachekeshs jinsi alivyo panic, kumbe haelewi kitu,
Sidhani kama atarudi tena
Jamaa inaonekana anasumbuliwa sana na unyonge/Umasikini wa kwao huko kusini, hapo ukijaribu kusema shule za kusini ndiyo zimeshika mkia kwenye matokeo ya form two lazima awake kwa hasira!!
 
Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Abake na kufukuzwa Austria halafu aje achomewe Handeni? Mkuu tuheshimu taha kidogo basi.
 
Najiuliza tu maelezo ya Mkuu wa Wilaya, anadai gari lililokuwa limebeba makaa ya mawe, hivi hayo makaa ya mawe yalikuwa yanasafirishwa kwenda wapi? Je Waandishi wameona hilo gari la makaa ya mawe?

Kingine anadai dereva wa gari kubwa aliumia japo si saana, lakini baadae akaruhusiwa aende akajitibie hospitali kubwa baada ya kuanza kutapika damu kidogo.

Hivi hospitali ya Handeni haiwezi tibu mtu anae tapika damu kidogo? Dereva alikuwa ana traffic case, iweje mmruhusu bila kufuata taratibu kupata maelezo yake na kuwa chini ya ulinzi?

Hata msaidizi wa dereve hatujaelezwa alikuwa nani na jina la huyo dreva kama ilivyo katika ajali nyingine.

Waandishi wa habari wafuatilie kujua alipo dereva wa gari kubwa lililogongana na gari ya balozi, na waihoji serikali, daktari wa Handeni, na polisi ni vipi dereva wa gari hilo kubwa ati kuruhusiwa kwenda kupata matibabu zaidi bila taratibu za kipolisi, na hospitali walishindwa nini kumtibia?

Hospitali ya wilaya ya Handeni ni kubwa haiwezi shindwa mtibu mtu anaeanza tapika damu. Huyu Dreva na msaidizi wake wajulikane tafadhali!

Mkuu wa wilaya kawa msemaji wa Polisi, Msemaji wa Daktari, ndo maana hajatoa habari kamili kwa umma, jina la dereva, yupo wapi, na nini kinafanyika kwa mujibu wa sheria juu ya ajali iliyotokea. Ni kama vile balozi kafa basi kwisha habari yake, serikali haina muda.
 
Najiuliza tu maelezo ya Mkuu wa Wilaya, anadai gari lililokuwa limebeba makaa ya mawe, hivi hayo makaa ya mawe yalikuwa yanasafirishwa kwenda wapi? Je Waandishi wameona hilo gari la makaa ya mawe?

Kingine anadai dereva wa gari kubwa aliumia japo si saana, lakini baadae akaruhusiwa aende akajitibie hospitali kubwa baada ya kuanza kutapika damu kidogo.

Hivi hospitali ya Handeni haiwezi tibu mtu anae tapika damu kidogo? Dereva alikuwa ana traffic case, iweje mmruhusu bila kufuata taratibu kupata maelezo yake na kuwa chini ya ulinzi?

Hata msaidizi wa dereve hatujaelezwa alikuwa nani na jina la huyo dreva kama ilivyo katika ajali nyingine.

Waandishi wa habari wafuatilie kujua alipo dereva wa gari kubwa lililogongana na gari ya balozi, na waihoji serikali, daktari wa Handeni, na polisi ni vipi dereva wa gari hilo kubwa ati kuruhusiwa kwenda kupata matibabu zaidi bila taratibu za kipolisi, na hospitali walishindwa nini kumtibia?

Hospitali ya wilaya ya Handeni ni kubwa haiwezi shindwa mtibu mtu anaeanza tapika damu. Huyu Dreva na msaidizi wake wajulikane tafadhali!

Mkuu wa wilaya kawa msemaji wa Polisi, Msemaji wa Daktari, ndo maana hajatoa habari kamili kwa umma, jina la dereva, yupo wapi, na nini kinafanyika kwa mujibu wa sheria juu ya ajali iliyotokea. Ni kama vile balozi kafa basi kwisha habari yake, serikali haina muda.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom