Kuanzia September to December ndiyo miezi ya vifo vingi Kwa pamoja hii ni miezi ya vita kwenye ulimwengu wa roho shetani anataka kukamilisha idadi yake na MUNGU anataka kulinda watu wake
Doh lori lilikua njia sio yake jamaa wa roli alilala nini....Dah, kibuyu kimelia nje ya barabara kabisaView attachment 2415548View attachment 2415548
Waziri wa mambo ya ndani ana tamba asali tu yaani ata kutoa pole kwa wafiwa daa Tutakukumbuka kwa mazuri si kwa mabaya" leo hii ingekuwepo naamini ungekula kichwa cha Masauni ili aende kula urojo.Ajali muda huu maeneo ya Mzakwe (Dodoma)basi la Arusha Express likitokea Arusha kueleka Dodoma.
Tusubiri mamlaka husika zitatoa taarifa za vifo na majeruhi
====
Ajali imetokea mchana huu eneo la Veyula mjini Dodoma. Basi kampuni ya ARUSHA express ikitokea Arusha kwenda Mbeya, Imegongana uso kwa uso na lori.
======
Watu hao wamepoteza maisha papo hapo huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi hilo kugongana uso kwa uso na Lori Novemba 13, 2022 mchana eneo la Veyul, Makutupora.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibiti ajali hiyo na kusema bado wanafuatilia chanzo cha ajali na athari zaidi zilizotokana na ajali hiyo.
"Ni kweli ajali hiyo ipo, watu watano wamepoteza maisha katika eneo la ajali na wengine kujeruhiwa na wamekinbizwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa matibabu," amesema Otieno.
Basi hilo lilikuwa linatoka Arusha kwenda Mbeya liligongana uso kwa uso na lori la kampuni ya ujenzi ya China Hydropower.
View attachment 2415508View attachment 2415509View attachment 2415510
Mamlaka zikisimamia vizuri hakuna ajali zinaweza tokea kama tulivyokariri. Nakumbuka miaka mitano nyuma hizi ajali za mwisho wa mwaka tulishazisahau. Mara nyingi hizi ajali chanzo chake ni uzembe hasa mwendokasi ni vyema polisi wa barabarani wakaongezwa kipindi hiki tena ikiwezekana wabafilishiwe vituo kuepuka mazea dereva asiyefuata sheria hatua kali zimshukie.Kuanzia September to December ndiyo miezi ya vifo vingi Kwa pamoja hii ni miezi ya vita kwenye ulimwengu wa roho shetani anataka kukamilisha idadi yake na MUNGU anataka kulinda watu wake
Mkuu na mipango ya mungu piaMamlaka zikisimamia vizuri hakuna ajali zinaweza tokea kama tulivyokariri. Nakumbuka miaka mitano nyuma hizi ajali za mwisho wa mwaka tulishazisahau. Mara nyingi hizi ajali chanzo chake ni uzembe hasa mwendokasi ni vyema polisi wa barabarani wakaongezwa kipindi hiki tena ikiwezekana wabafilishiwe vituo kuepuka mazea dereva asiyefuata sheria hatua kali zimshukie.
Kuanzia September to December ndiyo miezi ya vifo vingi Kwa pamoja hii ni miezi ya vita kwenye ulimwengu wa roho shetani anataka kukamilisha idadi yake na MUNGU anataka kulinda watu wake
Mungu atupe wepesi kwakweliAjali muda huu maeneo ya Mzakwe (Dodoma)basi la Arusha Express likitokea Arusha kueleka Dodoma.
Tusubiri mamlaka husika zitatoa taarifa za vifo na majeruhi
====
Ajali imetokea mchana huu eneo la Veyula mjini Dodoma. Basi kampuni ya ARUSHA express ikitokea Arusha kwenda Mbeya, Imegongana uso kwa uso na lori.
======
Watu hao wamepoteza maisha papo hapo huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi hilo kugongana uso kwa uso na Lori Novemba 13, 2022 mchana eneo la Veyul, Makutupora.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibiti ajali hiyo na kusema bado wanafuatilia chanzo cha ajali na athari zaidi zilizotokana na ajali hiyo.
"Ni kweli ajali hiyo ipo, watu watano wamepoteza maisha katika eneo la ajali na wengine kujeruhiwa na wamekinbizwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa matibabu," amesema Otieno.
Basi hilo lilikuwa linatoka Arusha kwenda Mbeya liligongana uso kwa uso na lori la kampuni ya ujenzi ya China Hydropower.
View attachment 2415508View attachment 2415509View attachment 2415510
Kwa maoni yako haya ina maana shetani huwa anamzidi Mungu nguvu?Kuanzia September to December ndiyo miezi ya vifo vingi Kwa pamoja hii ni miezi ya vita kwenye ulimwengu wa roho shetani anataka kukamilisha idadi yake na MUNGU anataka kulinda watu wake
Amesema tusubiri taarifa kutoka mamlaka za dola. Dunia ya tatu raia tumepikwa kutumainia taarifa za mamlaka.Sasa mkuu unawahi wapi...si ungekusanya habari kamili ndipo upost...kwani wanakukimbiza ndugu yangu? Ungesaidia kuokoa majeruhi na kutoa msada stahiki then uje huku utujuze wenzio.
Hata kapicha hakuna