RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,047
- 521
Nimetumiwa ujumbe na mtu anayedai amesafiri na binti yangu leo na gari imepata ajali maeneo ya Babati na kwamba majeruhi wamepelekwa hospitali ya Dareda.
Nampigia simu mhusika hapokei tena,
Mwenye taarifa zaidi?
Nampigia simu mhusika hapokei tena,
Mwenye taarifa zaidi?