kuna ajali mbaya sana imetokea ihemi maeneo ya iringa karibu na kijiji cha ifunda ambayo inamhusisha dr. Mwakyembe
taarifa zaidi zinafuatia:
Picha ni hizi
dr mwakyembe akifikishwa hospitali ya mkoa wa iringa leo baada ya ajali
gari la dr mwakyembe likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali
shimo lililosababisha ajari ya dr mwakyembe
Kuna mchangiaji alibashiri kuwa wakati wa overtaking kutakuwa na gari lilikuja mbele na dereva wa Mwakyembe akawa kwenye hati hati.
Jamani kuweni wakweli na hawa waandishi wa habari tanzania.. sisi sote tumeishi Bongo na tunajua barabara hizo ziko vipi.. Hakuna Lori la mizigo linalo kwenda mwendo wa 120 au 130Km/hr barabara ya Iringa hasa sehemu iliyotajwa kutokea ajali..
Nikiwa na maana kwamba haiwezekani Dreva wa Mwakyembe alilazimika kuendesha gari 140 Km/hr ili ku overtake lori ambalo lilikuwa likienda mwendo wa kawaida... Na kama kweli gari la Mwakyembe lilikuwa likienda kasi ya 140 km na lingekongwa na lori kidogo tu ubavuni basi lingeangukia over 100 metres from the scene of accident..haikutokea hivyo!..
Hapa maneno yameongezwa - WHY hilo ndio swali la kujiuliza!
Engineer punguza speculations usizokuwa na uhakika nazo.Zinapunguza reliability yako kwa mtu anayeita Engineer(proffession ya mambo hakika)
Kwa tarifa yako Makambako hadi Iringa kuna kilometa karibu 180, hata mabasi hayachukui masaa 3 kusafiri mwendo huo, sembuse gari dogo linaloenda 120km per hr!
Lole,
Usiwe unaleta ubishi usio na maana. Nimekuambia mwendo kisheria na wala sio mwendo ambao wewe unaendesha. Ukitaka nenda hata 1000km/h.
Hiyo njia sehemu nyingi maximum speed ni 80kms/h na baadhi ya sehemu iko chini ya hapo. Sasa kama umbali ni km 180, kwa huo mwendo ambao ndio unakubalika kisheria utatumia masaa mangapi?
Ulivyo mjinga unafikiri hata gari likienda 80km/h basi safari nzima itakuwa hivyo. Katikati kuna vijiji na miji ambapo speed iko mpaka 40km/h. Ukitafuta wastani ni hayo masaa matatu.
Wavunja sheria ndio mnakimbia na mkipata ajali mnasingizia mkono wa mtu.
wewe kwa investigation yako unaonaje?Kuna mchangiaji alibashiri kuwa wakati wa overtaking kutakuwa na gari lilikuja mbele na dereva wa Mwakyembe akawa kwenye hati hati.
Na ndio exactly Mwakyembe alichokisema: Kuna Coaster ilikuwa inakuja mbele. Gari la Mwakyembe likaamua ku speed limalizie overtaking badala ya kujaribu kurudi nyuma ya truck. Huo ndio uzembe uliosababisha ajali.
Lakini badala ya kuacha ukweli kama ulivyo, Mwakyembe anadokeza kwamba inawezekana sio ajali, na aliyepangwa kufanya hivyo ni fundi mkubwa sana. Analeta nadharia za njama wakati gari lake ndio chanzo.
Kuna mchangiaji alibashiri kuwa wakati wa overtaking kutakuwa na gari lilikuja mbele na dereva wa Mwakyembe akawa kwenye hati hati.
Na ndio exactly Mwakyembe alichokisema: Kuna Coaster ilikuwa inakuja mbele. Gari la Mwakyembe likaamua ku speed limalizie overtaking badala ya kujaribu kurudi nyuma ya truck. Huo ndio uzembe uliosababisha ajali.
Lakini badala ya kuacha ukweli kama ulivyo, Mwakyembe anadokeza kwamba inawezekana sio ajali, na aliyepangwa kufanya hivyo ni fundi mkubwa sana. Analeta nadharia za njama wakati gari lake ndio chanzo.
Jamani kuweni wakweli na hawa waandishi wa habari tanzania.. sisi sote tumeishi Bongo na tunajua barabara hizo ziko vipi.. Hakuna Lori la mizigo linalo kwenda mwendo wa 120 au 130Km/hr barabara ya Iringa hasa sehemu iliyotajwa kutokea ajali..
Nikiwa na maana kwamba haiwezekani Dreva wa Mwakyembe alilazimika kuendesha gari 140 Km/hr ili ku overtake lori ambalo lilikuwa likienda mwendo wa kawaida... Na kama kweli gari la Mwakyembe lilikuwa likienda kasi ya 140 km na lingekongwa na lori kidogo tu ubavuni basi lingeangukia over 100 metres from the scene of accident..haikutokea hivyo!..
Hapa maneno yameongezwa - WHY hilo ndio swali la kujiuliza!
...
120 -130 km/hr ni sawa na 90miles/hr
hiyo speed hata kwa lori huku ulaya ni kubwa sana na malori ya tz ni mazee sana
pili kama dereva wa lori alikuwa 130 siwezi kuamini kama alikuwa anamchelewesha dr mwakyembe...
kwa hiyo inamaanisha hilo lori lilikuwa mwendo wa konokono..
kwa barabara za tz gari likikupita hata likiwa 90km/h kwa ajili ya udogo wa barabara unaweza ukazani liko 200km/h
Mkuu,
hoja zako mbili zimenilazimu nikusaidie uone upande wa pili wa sarafu! Kwanza unasema "Gari la Mwakyembe likaamua ku speed limalizie overtaking badala ya kujaribu kurudi nyuma ya truck. Huo ndio uzembe uliosababisha ajali". Mkuu, wewe unaongelea truck, wakati Mwakyembe anaongelea semi-trailer, low loader! Kwa kuwa gari alilokuwa analipita lilikuwa semi-trailer, kurudi nyuma isingekuwa rahisi hivyo! Una risk kugongwa na trailer ya nyuma! Madereva wengi tungeamua kama alivyofanya dereva wa Mwakyembe: kwenda mbele kwa kasi zaidi. Mwakyembe anasema, na mimi nimemsikiliza, mini-bus hiyo ilikuwa bado mbali! Vilevile, comments zako Mkuu kwamba kulikuwa na "uzembe" n.k. si za busara wakati suala liko mikononi mwa vyombo vya sheria. Tusi behave kama gazeti la Tanzania Daima ambalo bado linaendeleza kampeni zake dhidi ya chochote kinachomhusu Mwakyembe. (Hongera ndoa ya Rostam na Kibanda!)
Pili, unasema "Mwakyembe anadokeza kwamba inawezekana sio ajali, na aliyepangwa kufanya hivyo ni fundi mkubwa sana. Analeta nadharia za njama wakati gari lake ndio chanzo". Mkuu, kwa nini ufunge akili ya watu? Kwa nini isiwezekane kuwa njama? Unaposema gari lake "ndio chanzo", una ushahidi gani? Ushahidi wa Tanzania Daima? Mkuu, waache watu wafikiri "outside the box". Afterall, mashahidi pekee wa kusikilizwa hapa ni: Dk. Mwakyembe, dereva wake na dereva wa lori ambaye anadai aliona ajali mbaya ikitokea mbele yake, lakini hakusimama, akaendelea na safari! Sisi wengine ni udaku bin udaku tu!
Mkuu nimalizie kwa kusema, statement ya Polisi saa chache baada ya ajali, kabla hata ya kumhoji dereva wa lori, dereva wa Mwakyembe na Mbunge mwenyewe (ambaye wakati huo alikuwa hajitambui) kwamba hakukuwepo hujuma, inatia mashaka sana juu ya usafi, uadilifu na umakini wa jeshi letu la Polisi!
Doulton
nakubaliana na wewe
120 -130 km/hr ni sawa na 90miles/hr
hiyo speed hata kwa lori huku ulaya ni kubwa sana na malori ya tz ni mazee sana
pili kama dereva wa lori alikuwa 130 siwezi kuamini kama alikuwa anamchelewesha dr mwakyembe...
kwa hiyo inamaanisha hilo lori lilikuwa mwendo wa konokono..
kwa barabara za tz gari likikupita hata likiwa 90km/h kwa ajili ya udogo wa barabara unaweza ukazani liko 200km/h
sijasema malori yote yanakwenda mwendo wa konokono nimesema sababu ya mwakyembe kumu overtake ni lazima hilo lori litakuwa lilikuwa polepole(konokono)Nani kakudanganya malori yote yanakwenda mwendo wa konokono? Nadhani umeondoka bongo siku nyingi na kama uko bongo basi hujasafiri ukakuta na malori yanayokwenda speed kuzidi hata mabasi.
sijasema malori yote yanakwenda mwendo wa konokono nimesema sababu ya mwakyembe kumu overtake ni lazima hilo lori litakuwa lilikuwa polepole(konokono)
haitaji rocket science kujua hili
kama lori likupita inamaanisha liko speed, ukilipita inamaanisha liko polepole inamaanisha polepole ya tz ni 130km/h kwa barabara zipi?
nilipokuja kufatwa airport dereva alikuwa mbio kuangalia speed 70km/h kumbe sio mbio bali ufinyu wa barabara
wewe unatuambia lori ambalo nyuma lina mtoto lilikuwa speed ya 130km/h na barabara yenyewe ni single dual carriage way kama inavyoonyesha kwenye picha, lazima uwelewe hiyo barabara ni ndogo gari likupita likiwa 90km/h na upepo unakuwa mkali kama ujui mambo ya speed unaweza ukadhani hilo gari liko 200km/h, gari likikupita kwenye barabara tatu hata likiwa 200km/h uhuisi vishindo vya upepo ambavyo utavipata gari likiwa speed 100km/h kwenye barabara moja
Lole,
Usiwe unaleta ubishi usio na maana. Nimekuambia mwendo kisheria na wala sio mwendo ambao wewe unaendesha. Ukitaka nenda hata 1000km/h.
Hiyo njia sehemu nyingi maximum speed ni 80kms/h na baadhi ya sehemu iko chini ya hapo. Sasa kama umbali ni km 180, kwa huo mwendo ambao ndio unakubalika kisheria utatumia masaa mangapi?
Ulivyo mjinga unafikiri hata gari likienda 80km/h basi safari nzima itakuwa hivyo. Katikati kuna vijiji na miji ambapo speed iko mpaka 40km/h. Ukitafuta wastani ni hayo masaa matatu.
Wavunja sheria ndio mnakimbia na mkipata ajali mnasingizia mkono wa mtu.
Mkuu Lole,Dont panic mzee , ukweli unabaki palepale.Basi la abiria katika sehemu hizo kwenda kwa mwendo wa kisheria wa 80km/hr ni mtazamo wa kusadikika.
Bahati mbaya watu kama wewe kama kweli ni engineer then you are making a poor case for your self.Reality ni kitu kingine kabisa .
Acheni kupasha moto viti maofisini ma muone mambo yanayotokea barabarani.
Nimeshuhudia basi likienda over 160 km/hr(Scania engine)-Mbeya -Igawa stretch
Nimeshuhudia lori tanker tupu-(Scania engine) going over 130km/hr(tena jana) between Kitonga -Mbuyuni stretch
Magari ya sasa hivi when you are talking of an official 80km per/hr basi inabidi urudi shule ili kufanya traffic studies upya kabisa.Na hili ndio kosa walifanyalo watendaji wengi- kubase argument zao na mambo ya kusadikika na sio reality on the ground.
Mkuu Lole,
Sitaki kuingilia mabishano yako na Engineer ila ninapata wasiwasi na baadhi ya mambo uliyoyaandika hapo juu.
Hiyo barabara mimi nimeipita mara nyingi na kwa kweli ndugu yangu kama unapanda basi linaloenda kwa hiyo speed au unaendesha gari kwa speed karibu na uliyoandika hapo juu basi unachezea maisha yako. Utakuwa sawa na mtu anayeenda kufanya ngono bila condoms kwenye mji ambao maambukizi ya ukimwi ni asilimia zaidi ya 20.
Speed ya 160km/h ni sawasawa na 100m/h, mwendo ambao hata kwa barabara kubwa, imara na magari mapya ambayo watu wanayo kama hapa UK, watu wengi hawawezi kuukaribia. Maximum speed hapa ni 70m/h ambayo ni 112k/h. Labda hawa wazungu huku na barabara zao hawajui traffic studies.
Bahati nzuri kazi zangu zinahitaji kuzunguka nchi nzima (UK) na kwa mwaka ninafikisha hata miles 35,000. Barabara ambayo inafanana na hiyo ya kwetu huko Mbeya mpaka Iringa ni barabara inayounganisha England na Scotland. Kuna umbali wa kama miles 50 ambazo ni nyembamba kama barabara ya kwetu ingawaje ni imara zaidi maana haina mashimo wala haijabonyea, maximum speed ni 50miles/h ambayo ni sawa na 80kms/h.
Kidogo napata shida nikisoma maelezo yako hapo juu. Ni kama unaona it's OK kwa magari kwenda speeds kubwa kiasi hicho. Ni sawa kuna mara nyingi tu abiria watafika salama, kama ambavyo hata kwenye ngono, watu wengi tu wasiotumia condoms bado ni wazima. Lakini kweli kuna haja ya kuchukua risks za namna hiyo?
Ushauri wa bure; tusingetaka kukupoteza; jihadhari na huo mwendo kasi; usipande mabasi yanayokimbia kiasi hicho. Maisha yako ni bora zaidi ya masaa machache ya kuwahi uendako. Ndio maana wengine tunakwepa baadhi ya yale mabasi ya Kyela kwasababu ya speeds zao. Siwezi kuhatarisha maisha yangu kiasi hicho. Sawa kila mtu atakufa lakini kweli kuna haja ya kutokuwa makini kiasi hicho? Halafu ikitokea ajali tunaanza kutafuta mchawi.
...
NIMEONA basi zinazokwenda spidi hizo, hii ni baada kwa utundu tu kulifukuzia basi hilo nikiwa naundesha gari dogo jingine., na nilishangaa...
You can not compare apples and oranges.