Ajali ya Dr. Mwakyembe na yatokanayo

 
1. Get well soon mzalendo!

2. Ule uwanja wa Songwe ukiwa tayari sioni haja ya kusafiri kwa gari ndogo toka Mbeya hadi Dar..ni mbali sana..na ni cheaper na salama zaidi kutumia ndege!
 
Pole Dr. Mwakyembe pia inatukumbusha Waziri Mkuu Sokoine wakati wa ajali yake pamoja na yule mbunge wa chadema, tuwe makini wa Tz kwani hizi sehemu tunazosema zinamatukio mengi ya ajali na jamii kuamini hivyo kuna uwezekanao zikatumika na wengine kwa kukamilisha matakwa yao kwa kutumia kigezo kama hicho kuwa hii sehemu inasifika kwa ajali .(don`let them full you all the time.)
 
1.

2. Ule uwanja wa Songwe ukiwa tayari sioni haja ya kusafiri kwa gari ndogo toka Mbeya hadi Dar..ni mbali sana..na ni cheaper na salama zaidi kutumia ndege!

Kama wewe ni mzalendo halisi usingezungumzia ndege. Labda unatania. Mzalendo halisi anasikia tu mlio wa ndege. Halafu unasema "cheaper", kweli? Mwanza ni mbali zaidi kuliko Mbeya kutokea Dar. Je, ni wangapi wanapanda ndege kwenda Mwanza. Je, unadhani hawapendi kuwahi kufika na kuwa salama? Linganisha na mabasi yanayoondoka kila siku kwenda Mwanza. Pole Mwakyembe.
 

Gembe hata wachungaji wanazikwa na maaskofu, hiyo haina maana kuwa muumini wa kawaida hana thamani mbele ya askofu, sipokuwa ni kawaida ya binadamu kuguswa na sahibu linalomkuta mtu aliye karibu naye kuliko... katika hili Dr. Mwakyembe yupo karibu na Watanzania wote bila kujali jinsia wala rangi, kwani amesimamia upande wao katika vita takatifu dhidi ya ufisadi, na hili ndilo linalofanya kila mtu kuguswa na hili tukio.
 
Uwanja wa ndege wa songwe...
Mbona kichekesho??/
nani kasema utaisha siku za jirani??
Mwaka kesho ujenzi utapamba moto ile mbaya,
mwezi wa kumi na mbili utasimama....
Mwaka 2015 january ujenzi utaanza tena....
Lazima tuutumie sana uwanja ule kwa ajili ya kupata kura za wanchi wabishi wa huo mji mkuu wa chini magharibi
 

We Congo acha ubishi hivi unajua ku-drive land cruiser toka mwanza hadi Dar ni shilingi ngapi (mafuta)? hapo bado hujamlipa posho dereva. Ukifanya hesabu zako vizuri utatambua kuwa ndege ni cheap zaidi. au ulipigia hesabu ya basi? lol

Halafu aliyekuambia mzalendo lazima awe masikini ni nani? yaani tajiri hawezi kuwa mzalendo! nimechoka kabisa.
 
Ndo maana sipendi kuwa mwanasiasa kwani nitawaachia majonzi familia yangu kabla ya wakati...

Mungu ampe afya na apone mapema

Msanii, familia hiyo hiyo itaanza kujiuliza, hivi baba yetu ameishi miaka 75 au 90 kuna lolote la maana alilifanya kwa famili au taifa letu kwa ujumla? bila shaka watahitimisha kuwa bora tu asingezaliwa au kuishi miaka yote hiyo na kutuletea dhiki hii kuu.
 

Kwa hiyo wewe ndio advocate wa RA?
 
Tunamuombea afya njema na apone haraka maana na Pole kwa ajali.
 
teh teh teh..olalalalala..umeangukia pua.
hii ni ajali na aliyepata ajali ni MTANZANIA MWENZETU, BINADAMU MWENZETU lakini pia ni KIONGOZI katika nji hii, tumuombee apone na kumtakia afya njema...harakati zake katika kupigania usawa na kuupinga ufisadi nchini wengi tunaziunga mkono ndio maana wengine wamesema we need him now than ever...inabidi asaidiwe maana hawezi kufanya kazi peke yake..hata wazo la kuangalia usalama wake hapo alipo ni la muhimu....
 
Wapinga ufisadi wote hawapaswi kupata ajali, kuugua, kuandikwa vibaya, kukosolewa,.... na ikitokea hayo mabalaa yakawakuta, mafisadi waandamwe, walaaniwe,...Hebu tukuekue kidogo WATANZANIA wenzangu.

Waislamu na wakristu wanaamini kuwa mabaya yote yanatoka kwa shetani. Na binafsi naamini kuwa mafisadi ni maadvocate wa shetani wakati wapinga ufisadi wanasimamia kweli ambayo ni mapenzi ya Mungu; hivyo inaniwia vigumu kuwatenganisha mafisadi na chochote kibaya kinachowatokea wapenzi wa Mungu ambao wanaisimamia ile kweli.
 
Pole Mwakyembe Mungu akujaalie afya njema baba. Sijui kina JK watasema tena anajitafutia umaarufu!!
 

watu wengine humu ndani na nyie mtapata ajali, kwani hamjui kwamba RA ndiye Mwenye Nchi?
 
Mungu wa mbinguni awape uzima wote waliohusika na hii ajali. Wapone haraka ili isije leta fadhaa kwa Wa-TZ.
 

Mtanzania hapo si karibu na jia panda ya mjini kwa kuna kilomita karibu 40 au zaidi mpaka kufika njia panda ya town
 
watu wengine humu ndani na nyie mtapata ajali, kwani hamjui kwamba RA ndiye Mwenye Nchi?

Ni kweli kabisa mkuu, najua mwenye nchi hawezi kupata ajali kama sisi lakini hatutachoka kusema madhambi yake. Akitaka tusiseme asiishie kutusababishia ajali tu bali ahakikishe kuwa tunakufa woote tunaopinga ufisadi, abakie na ma-advocate wake tu ili wafurahie maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…