Wakulu,
Kwanza naombautoa pole kwa wale wote waliopata Ajali bila kuangalia huyu ni nani,hapa wote tumekaa kuangalia Mwakyembe peke yake na hatuangalia Dereva ana khali gani.,Hii ni tabia ambayo tumerithishwa na CCM,ubinafsi na ndiyo inatufanya tuwe hapa kila siku
Tunathamini wale wenye majina tu,yaani ni bora mtu amsikini aliyeko sehemu flani afe ila mwingine apone na ndiyo maana ukeienda Hospital Bombo au sehemu za starehe na ukiwa umeongozana na Pedeshee au Mkuu yoyote wata ku-skip..
anyway Bongo yetu
Wenye Taarifa Derve anaendeleaje?Je kuna wengine wlaiokuwapo katika hiyo Gari?