Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Nyongeza ni kwamba kwa kawaida kama dereva wa lori alikuwa na nia mbaya angaweza kupunguza mwendo na kumlazimu dereva wa gari dogo kuomba kupita na baadaye wa lori kuongeza mwendo ama vinginevyo na mara nyingi hali hiyo husababisha ajali. Nimeshawahi kuingia porini kukwepa ajali. Madereva wa malori mara nyingi hufanya uhuni barabarani hata bila kutumwa maana mara nyingi wapo vichaa katika barabara zetu.