William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mkuu FMES, you are more than right! Lakini tatizo hapa si Dk. Mwakyembe: ni mimi, wewe na wao. Tunakaa kimya as spectators tukiacha watu wazuri wakipigwa below the belt. Hatusimami kutetea haki. What do we expect from our ill-informed public? Tunaponyamaza wananchi wanaamini udaku unaosambazwa na hawa mafisadi! Hivyo akina Mwakyembe wanalazimika from time to time to stand up and fend for themselves! Hii Bongo bwana, bla bla bla za solidarity nyingi, lakini vitendo sifuri!
- Mkuu wangu heshima mbele sana, nimekusikia sana record yangu iko very clear na kusimamia viongozi ninaowaminia, DK ninamuaminia sana ndio maana hata alipokuwa na matatizo majuzi nilijipiga na kumtumia kidogo na kichache nilichokuwa nacho, ni kwa sababu ya kuheshimu mchango wake kwa taifa,
- Pamoja na uchache wake wa hapa na pale kiuongozi, bado ninamuaminia sana, ila tu tatizo siwezi kuwaongelea wengine humu, maneno yako ni kweli sana wananchi tunaoelewa mchango wake kwa taifa tunahitaji kusimama kidete wanapochafuliwa kwa makusudi viongozi wa aina yake, hilo umesikika sana mkuu, ila again naomba umwambie kama uko karibu naye kwamba ya defensive yametosha sasa, abadili message na kuanza kushambulia tena,
- Lakini heshima sana kwa maneno yako mazito, naamini ujumbe umefika unapotakiwa.
Respect.
FMEs!