Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
......mapungufu yaliyomo kwenye mamlaka zetu nchini yanajulikana, na kibaya zaidi watanzania kwa ujumla huwa hatuangalii mbele zaidi zaidi tunafuata matukio, ni wakati sasa wa kubadilika vinginevyo tutawapoteza wengi.
Uache uongozi wa chadema, wao wanashughulikia masuala makubwa kama Ufisadi na maandamano, usalama wa uhai wa mtu kama marehemu Regia kwao sio muhimu, ingekua muhimu wangemshauri awe na dereva japo kwa safari ndefu kama hizo.
Nadhani kunaswala kubwa hapa zaidi ya Marehemu Regia, tunaongealea miundo mbinu na mazingira yaliyopo Tanzania iwapo yanawawezesha watu waishio na ulemavu kuwa na haki na uhuru wa kuendesha magari. Itambulike ni haki kwa mlemavu ambaye anauwezo wa kuendesha gari inayolinda usalama wake kuendesha gari. Ni wajibu wa mamlaka tofauti kuhakikisha upatikanaji wa vifaa hivyo ama magari hayo ya walemavu, na kuhakikisha wanatimiza masharti hayo ya uendeshaji salama. Kwa watu waishio na ulemavu ni wajibu kutambua na kutimiza masharti ya nchi katika uendeshaji salama
Hiki ndicho nilichotarajia tujadili ...asante...tuendelee
pengine umekaa ukahisi wewe utakuwa umeuliza swali la maana kweli na bahati mbaya familia yenu ndio wanakutegemea anyway
akuna jipya atizo mnaingia huku mpaka mpate viji 500/1000 jitahdi uwe unaingia mara kwa mara utakuta mkeo kauzwa ujui..kuna waliuliza wakajibiwa sioni jipya ulilouliza
all the best
WakuluNimesukumwa kuandika haya baada ya kufuatilia tukio zima la ajali ya Mh. Mbunge ambaye sasa ni marehemu.Mh. Regia alikuwa mlemavu wa mguu wa kulia.Gari aliyokuwa anaendesha kwa mujibu wa taarifa za jeshi la polisi lilikuwa halijafanyiwa -modification kwamba ni gari maalumu kwa ajili ya walemavu.Sasa swali, ni mamlaka gani ilitoa leseni kwa Marehemu? wakati anajulikana kwamba ni mlemavu...... (ukizingatia kwamba kwa mujibu wa sheria zilizopo, hata ukiwa na makengeza huruhusiwi kupewa leseni) Nauliza hili kwa uchungu tukizingatia kwamba Regia alikuwa ni hazina ya taifa...... mpaka lini tutaendelea kupoteza vijana wenye uwezo mkubwa wa kulisaidia taifa hili ...kwa kuruhusu uzembe,kutoheshimu sheria na mambo yanayofanana na hayo? Ilikuwaje mfumo mzima kuanzia serikali kupitia vyombo vyake vya TRA, Trafiki polisi, ndugu, chama chake, marafiki zake, abiria aliokuwa nao kwenye gari kwa nyakati mbalimbali hawakuliona hili kwamba ni tatizo kwa marehemu kuendesha gari wakati yu mlemavu ? kwa nini hawakumkemea, hawakumshauri ....n.kSheria , kanuni na taratibu zipo kutulinda.....naamini TUNA TATIZO KUBWA KULIKO TUNAVYODHANI.....Naomba tujadili objectively...bila jazba...
acha kupayuka wewe kiumbe uliekosa heshima kwa Mungu wako
Labda kwa kuongeza ufafanuzi, na sie wenyewe hatupendi kuhukumiwa, na tuna nafasi ya kutokuhukumiwa, tuna nafasi ya kufanya shortcut ya mambo mengi tu including ya hatari kwetu na kwa wenzetu.Haika
Nashukuru kwamba umeweza kuliona tatizo...lkn bado tunahitaji ufafanuzi wako...nahisi kwamba labda naliangalia hili kwa mtazamo tofauti...
wakulu
nimesukumwa kuandika haya baada ya kufuatilia tukio zima la ajali ya mh. Mbunge ambaye sasa ni marehemu.
Mh. Regia alikuwa mlemavu wa mguu wa kulia.gari aliyokuwa anaendesha kwa mujibu wa taarifa za jeshi la polisi lilikuwa halijafanyiwa -modification kwamba ni gari maalumu kwa ajili ya walemavu.
Sasa swali, ni mamlaka gani ilitoa leseni kwa marehemu? Wakati anajulikana kwamba ni mlemavu...... (ukizingatia kwamba kwa mujibu wa sheria zilizopo, hata ukiwa na makengeza huruhusiwi kupewa leseni)
nauliza hili kwa uchungu tukizingatia kwamba regia alikuwa ni hazina ya taifa...... Mpaka lini tutaendelea kupoteza vijana wenye uwezo mkubwa wa kulisaidia taifa hili ...kwa kuruhusu uzembe,kutoheshimu sheria na mambo yanayofanana na hayo?
Ilikuwaje mfumo mzima kuanzia serikali kupitia vyombo vyake vya tra, trafiki polisi, ndugu, chama chake, marafiki zake, abiria aliokuwa nao kwenye gari kwa nyakati mbalimbali hawakuliona hili kwamba ni tatizo kwa marehemu kuendesha gari wakati yu mlemavu ? Kwa nini hawakumkemea, hawakumshauri ....n.k
sheria , kanuni na taratibu zipo kutulinda.....naamini tuna tatizo kubwa kuliko tunavyodhani.....
Naomba tujadili objectively...bila jazba...
mi bado sijaelewa logic unayojenga hapa ni nini??
je unauliza swali mamlaka gani iluruhusu yeye kuendesha gari???
au unataka kutuambia kuwa ni uzembe wake???
au unailaumu serikari???
anywai ni hivi 'MHESHIMIWA MBUNGE ALIYEKUWA NA ULEMAVU WA MGUU ALIPATA AJALI YA GARI ALILOKUWA ANALIENDESHA MWENYEWE, NA ALIFARIKI DUNIA HAPO HAPO! (Sasa hayo mengine yaache kama yalivyo, kama ni uzembe wake au serikali au dreva wake poa, mungu amuweke mahari pema peponi)
Wakulu
Nimesukumwa kuandika haya baada ya kufuatilia tukio zima la ajali ya Mh. Mbunge ambaye sasa ni marehemu.
Mh. Regia alikuwa mlemavu wa mguu wa kulia.Gari aliyokuwa anaendesha kwa mujibu wa taarifa za jeshi la polisi lilikuwa halijafanyiwa -modification kwamba ni gari maalumu kwa ajili ya walemavu.
Sasa swali, ni mamlaka gani ilitoa leseni kwa Marehemu? wakati anajulikana kwamba ni mlemavu...... (ukizingatia kwamba kwa mujibu wa sheria zilizopo, hata ukiwa na makengeza huruhusiwi kupewa leseni)
Nauliza hili kwa uchungu tukizingatia kwamba Regia alikuwa ni hazina ya taifa...... mpaka lini tutaendelea kupoteza vijana wenye uwezo mkubwa wa kulisaidia taifa hili ...kwa kuruhusu uzembe,kutoheshimu sheria na mambo yanayofanana na hayo?
Ilikuwaje mfumo mzima kuanzia serikali kupitia vyombo vyake vya TRA, Trafiki polisi, ndugu, chama chake, marafiki zake, abiria aliokuwa nao kwenye gari kwa nyakati mbalimbali hawakuliona hili kwamba ni tatizo kwa marehemu kuendesha gari wakati yu mlemavu ? kwa nini hawakumkemea, hawakumshauri ....n.k
Sheria , kanuni na taratibu zipo kutulinda.....naamini TUNA TATIZO KUBWA KULIKO TUNAVYODHANI.....
Naomba tujadili objectively...bila jazba...