Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Atakaye kuwa na hali hati ya kuondloewa ni jenista tuu anatoka kusini
 
Nyie watu mnapoandika mnafikiri sawa sawa kweli!! ndani ya dakika 20 tangu kivuko kipinduke wananchi waliowahi kwenye tukio walishaanza kutoa maiti, hao 40 waliookolewa na wananchi ni wale walianguka kwenye maji pasipo kufunikwa na kivuko..ndivyo wanavyosema wenyewe, ni mpumba.vu na punguani kama wewe anayedhani kulikuwa na watu wazima baada ya nusu saa kupita waliofunikwa na kivuko wangeokolewa..ishu ya kuendelea na kuopoa maiti usiku na kuhatarisha usalama wa waopoaji haikuwa lazima zaidi ya kusubiri kuchwe kazi ya kuopoa maiti iendelee..hizo akili za kukariri kama kasuku kila anachosema zitto ni ulemavu wa akili.
Endeleeni na upumbavu wenu kunywa chai na traffic on live TV wakati watu wanaendelea na mazishi huko Ukara, na ajabu mlitangaza kuwa nchi iko kwenye maombolezo, enyi majitu majinga kweli yani!
 
Ni Kiongozi si kiongozi!?
Kiongozi, sifa mmoja ya discussion za humu ni kwamba somehow mtaelewana at some point hata kama mko na mitazamo tofauti. Ila vijana wa yule mwalimu wa hisabati aitwaye polepole wanapenda sana kuwa "equidistant" na wengine. Kwa hiyo kama hauna mpango wa kuelewa huko mbele, tuendelee na mambo mengine. 'Parallel lines have so much in common. It's a shame they will never meet!
 
Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri?

Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja, wakati wananchi wenyewe wameweza kuokoa watu 40..... hii ni aibu kubwa sana. Watu 225 wamepoteza maisha sababu ya uzembe.

Tuache kujidanganya na mapenzi ya Mungu. Mungu katupa akili, namna ya kuzitumia ni sisi wenyewe. Huwezi kupata Habari ya ajali saa nane mchana halafu ukaitisha Kamati ya Usalama mkoa saa 11 jioni ( yaani mwendo wa Dreamliner Dar-Mwanza mara 4 ). Rais naye hakuitisha Cabinet ya dharura wala Baraza la Ulinzi na Usalama Taifa kuratibu uokoaji. Uokoaji unasitishwa sababu ya GIZA? Tukihoji mnasema tunaleta Siasa? Nonsense!

Kwa nchi zilizoendelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu walitakiwa wawe wamekwishafutwa kazi au wamejiuzulu wenyewe.

Miaka 57 baada ya uhuru...Jeshi la uokozi linapoishia kuwa jeshi la UOPOZI, ni wakati wa rafiki nyangu Kangi Lugola kupumzika. Waziri Kamwelwe, Jenista na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja. Bahati mbaya sana Rais amechoka na hivyo hajali tena. Wazembe Ndio wameongoza mazishi ya ndugu zetu leo.
Nchi zilizoendelea, ok wewe zitto tangu umekuwa mbunge ni nini umelifanyia taifa hili kama wabunge wa nchi zilizoendelea.
Na unakubali hii nchi si miongoni mwa nchi zilizoendelea so what!
 
Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri?

Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja, wakati wananchi wenyewe wameweza kuokoa watu 40..... hii ni aibu kubwa sana. Watu 225 wamepoteza maisha sababu ya uzembe.

Tuache kujidanganya na mapenzi ya Mungu. Mungu katupa akili, namna ya kuzitumia ni sisi wenyewe. Huwezi kupata Habari ya ajali saa nane mchana halafu ukaitisha Kamati ya Usalama mkoa saa 11 jioni ( yaani mwendo wa Dreamliner Dar-Mwanza mara 4 ). Rais naye hakuitisha Cabinet ya dharura wala Baraza la Ulinzi na Usalama Taifa kuratibu uokoaji. Uokoaji unasitishwa sababu ya GIZA? Tukihoji mnasema tunaleta Siasa? Nonsense!

Kwa nchi zilizoendelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu walitakiwa wawe wamekwishafutwa kazi au wamejiuzulu wenyewe.

Miaka 57 baada ya uhuru...Jeshi la uokozi linapoishia kuwa jeshi la UOPOZI, ni wakati wa rafiki nyangu Kangi Lugola kupumzika. Waziri Kamwelwe, Jenista na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja. Bahati mbaya sana Rais amechoka na hivyo hajali tena. Wazembe Ndio wameongoza mazishi ya ndugu zetu leo.
Ila katika historia ya nchi hii sijawah kusikia watu wanaahirisha kuokoa watu kwa sababu ya Giza, yani ni kama unamwacha mgonjwa wazi operation room unaenda home kulala utarudi kuoperation tena kesho, labda kwa sababu tumeshachukulia swala la vifo kwenye maziwa na bahari swala la kawaida sanaa,
 
Ajali ingetokea bila Captain kufanya madudu mkuu?Na kwa nini mnasahau kwamba kuna mobilization tena probably of limited resources?Na kwa nini pia mnasahau kwamba JPM ameridhi system iliyo oza, which he is trying to put together na bado mnampigia makelele ya dictator huyo dictator huyo.To me,wamefanya vizuri under the circumstances.Najua CCM huko nyuma ilifanya vibaya,na I am sure hizi ni remnants of that nonsense.Tuwape muda,watu watanyooka na haya yatakuwa historia.
Tusibishane mkuu wakati binadamu wenzetu wngine wamekufa! Jiulize, kikao hicho cha saa 11 jioni hivi wakati wanajadiriana namna ya kwenda kuokoa, suala la TAA halikuongelewa kabisa!? Na kama liliongelewa, nini ulikua mwafaka!? Walishindwa nini kwenda kuazima light plants kwenye migodi iliopo karibu kama Geita na Acacia!? Chopper za kupeleka waheshimiwa zipo, taa tu ambacho ni kitu kidogo sana, HAKUNA. Tusijaribu kutetea UJINGA; muungwana akikosea husema tu, "sorry"
 
Tusibishane mkuu wakati binadamu wenzetu wngine wamekufa! Jiulize, kikao hicho cha saa 11 jioni hivi wakati wanajadiriana namna ya kwenda kuokoa, suala la TAA halikuongelewa kabisa!? Na kama liliongelewa, nini ulikua mwafaka!? Walishindwa nini kwenda kuazima light plants kwenye migodi iliopo karibu kama Geita na Acacia!? Chopper za kupeleka waheshimiwa zipo, taa tu ambacho ni kitu kidogo sana, HAKUNA. Tusijaribu kutetea UJINGA; muungwana akikosea husema tu, "sorry"
It is easier said than done,that is all I can say for the time being.Na ni kweli,tusibishane.
 
Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri?

Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja, wakati wananchi wenyewe wameweza kuokoa watu 40..... hii ni aibu kubwa sana. Watu 225 wamepoteza maisha sababu ya uzembe.

Tuache kujidanganya na mapenzi ya Mungu. Mungu katupa akili, namna ya kuzitumia ni sisi wenyewe. Huwezi kupata Habari ya ajali saa nane mchana halafu ukaitisha Kamati ya Usalama mkoa saa 11 jioni ( yaani mwendo wa Dreamliner Dar-Mwanza mara 4 ). Rais naye hakuitisha Cabinet ya dharura wala Baraza la Ulinzi na Usalama Taifa kuratibu uokoaji. Uokoaji unasitishwa sababu ya GIZA? Tukihoji mnasema tunaleta Siasa? Nonsense!

Kwa nchi zilizoendelea Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu walitakiwa wawe wamekwishafutwa kazi au wamejiuzulu wenyewe.

Miaka 57 baada ya uhuru...Jeshi la uokozi linapoishia kuwa jeshi la UOPOZI, ni wakati wa rafiki nyangu Kangi Lugola kupumzika. Waziri Kamwelwe, Jenista na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja. Bahati mbaya sana Rais amechoka na hivyo hajali tena. Wazembe Ndio wameongoza mazishi ya ndugu zetu leo.
Huna issue bro! Tunakufahamu vyema na wala sidhani kama kuna anaekusikiliza.
 
Back
Top Bottom