Hakuna wa kumzuru huyu, lakini anachokifanya ni kutumia huu msiba kuiprovoke Serikali ili aakamatwe and it is for his own gain, political stunts, and nothing else, vijana wa umri wake Europe wapo busy kubuni vitu vya msingi kwa ajiri ya Nchi zao, yeye yupo busy kuitumia elimu yake na akili yake kupigania Maslahi ya tumbo lake!
Halafu ukimkamata umwambie umemkamata kwa kosa gani?
Kwa "provocation?". Unaelewa maana ya ku - provoke wewe?
There's no provocation there. Hapo kuna ukweli unlesss serikali iseme otherwise. Hata hivyo sina hakika kinyume chake itqkuwaje rofauti na ukweli huu ambao kila mtu anauona, ameuona;
Kwamba iseme;
1. Si kweli kuwa yenyewe kwa kutumia nyenzo zake haijaokoa mtu mmoja tu na wengine kuokolewa na mitumbwi ya wavuvi!?
2. Si kweli, RC aliitisha BLU - Mkoa immediately baada ya kupata taarifa ya ajali!!?
3. Si kweli kuwa, Rais to the present time hajaitisha BLU Taifa wala Cabinet ya dharura.?
4. Si kweli kuwa, Jenista, Kangi na Kamwelwe hawajafukuzwa/jiuzulu. Wameshawajibika kwa hatua hizo!?
Halafu, wakati huohuo tujue kuwa mtu kutumia uhuru wake kutoa maoni si kosa kisheria so long as maoni hayavunji sharia yoyote mfano kutukana nk?
Sasa wewe unaingiza issue ya ku - provoke, kivipi na kwa namna gani?
Viongozi lazima wafahamu kuwa wanaongoza watu siyo miti ama mawe. Wakifanya vyema watapongezwa. Lakini kunapokuwa na makosa, lazima pia wakosolewe!
Ukosoaji unafanyika kwa watu kutumia midomo yao. Tatizo liko wapi kwani?