SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Misukule ya lile pepo linaloteseka kuzimu mnazidi kutujazia upuuzi wenu humu, kama vipi kunyweni sumu mumfuate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulishawahi kupanda ndege?Walipotimuliwa wenye vyeti feki mliita ukatili, sasa mnazika na kuuguza kwa simanzi baada ya wenye vyeti feki kurudishwa kazini na siajabu kuendelea kuajiriwa, nani anajua kama marubani, wahudumu wa kwenye ndege mpaka waokoaji kama kweli walihitimu mafunzo au waliiba na kufoji vyeti?
Mungu ndio anayejua, watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, nchi haijengwi kwa lelemama, ni kazi tu na weledi.
BTW. CCM waliagiza askari waondolewe barabarani, eti wanasumbua madereva mlishangilia, …
ndege haziendeshwi kama bajaji mkuu. tuache mihemko na kuongea mambo tusiyo yajua hapa. unarusha ndege na ukubwa wake kulingana na masaa uliyoaruka angani.vyeti feki haviingii hapoKila kitu kinawezekana Tanzania, kwa kawaida ndege huwa inaelea majini karibia kama Meli, sasa nini kilichowaua? Nani alifungua mlango wa ndege? Na kwa nini? Kama kweli watu wana vyeti sahihi vya taaluma?
Uwezekano mkubwa huyu dada katelekezewa watoto maana alichoandika kiukweli hakieleweki anashangaza mno yanHivi do you think this is the right time kuongea huo uharo
fuatilia ile ajali vizuri tangu ndege inazama mpaka majaliwa anafika pale. fuatilia background ya majaliwa kama hata anajua physics ninini?Ninachojua mimi Ndege haizami majini inaelea hiyo ni physics ya kawaida sana, hiyo ndege ingekaa majini mpaka hata Wataalamu ktk Afrika Kusiki wangefika na kuokoa watu, anyway yalishapita, marehemu wapate mapumziko ya milele na majeruhi wapone haraka!
Jitahidi sasa upunguze mihemko, ili usije kuonekana kituko tena wakati mwingine.Baada ya kuona Picha, nimeomba msamaha kusamehewa kwa kutokujua kilichoendelea, Mungu akubarikia na awabariki wote!
kabla hujamuomba muumba msamaha hembu tusaidie kidogo juu ya wenye vyeti fekiNimefuta na kujutia niliyoandika baada ya kuona picha ya ndege hapa JF, ee Mungu nisamehe kwa kuhukumu nisichokielewa, nawaomba msamaha wote waliokumbwa na hili janga, Amina!
Hili jambo lisijirudie kamwe jamii hii kupewa nafasi hii.Ujinga hauna umri... kikosi cha mwenda zake.
Magu is dead for good!Walipotimuliwa wenye vyeti feki mliita ukatili, sasa mnazika na kuuguza kwa simanzi baada ya wenye vyeti feki kurudishwa kazini na siajabu kuendelea kuajiriwa, nani anajua kama marubani, wahudumu wa kwenye ndege mpaka waokoaji kama kweli walihitimu mafunzo au waliiba na kufoji vyeti?
Mungu ndio anayejua, watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, nchi haijengwi kwa lelemama, ni kazi tu na weledi.
BTW. CCM waliagiza askari waondolewe barabarani, eti wanasumbua madereva mlishangilia.
Kwani hapa umeonakana kituko kwangu, au umeonekana kituko na jamii yote iliyosoma hicho ulicho kiandika?Kuonekana kituko na nani? Wewe?
Rubani mkuu alikua na uzoefu wa miaka mingi sana. Nikupe fact ndogo sana, katika maisha yako usije kumpambanisha mtu aliefanya kazi miaka 20 na cheti chake cha kuunga unga na yule aliemaliza degree juzi. Hawa watu hawatokaa waje wafanane kwenye swala la experience. Sidhani kama Rubani aliajiriwa na cheti feki kwasababu asingevuka kipindi cha Mheshimiwa alietangulia. Nikupe mfano Kuna mtu alifoji cha form six labda combi zilikataa lakini alipofika chuo akafanya vizuri hawa ndo nnaowaongelea hapa. Sasa kaa hapo na masters yako ya ulaya uje ujifananishe na mwamba aliefanyia kazi miaka 20 hicho ulichosomea.Walipotimuliwa wenye vyeti feki mliita ukatili, sasa mnazika na kuuguza kwa simanzi baada ya wenye vyeti feki kurudishwa kazini na siajabu kuendelea kuajiriwa, nani anajua kama marubani, wahudumu wa kwenye ndege mpaka waokoaji kama kweli walihitimu mafunzo au waliiba na kufoji vyeti?
Mungu ndio anayejua, watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, nchi haijengwi kwa lelemama, ni kazi tu na weledi.
BTW. CCM waliagiza askari waondolewe barabarani, eti wanasumbua madereva mlishangilia.